Tanzania yetu

mussah suphian

New Member
Joined
Sep 24, 2013
Posts
2
Reaction score
0
Hivi hii nchi kila mtu akilala na kuamka anatunga lake mara kodi za simu, mara hili, mara sasa wameamua kupandisha kodi. Hivi wanategemea mkulima aishi vipi kwa kumuongezea kodi kila siku?

Angalia kwenye sekta ya madini, ni sawa nakusema yanachukuliwa buree tu! Hawa jamaa hawana lolote na wala sijui wanatupeleka wapi!

Watanzania wenzangu tuwe makini uchaguzi ujao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…