Ninaipenda nchi yangu, awali ya yote ninaiomba amani iwe nasi hasa katika kipindi hiki cha uchaguzi.
Kwa awamu ya tano.(Chini ya ukawa au CCM). Kwa ubora wa taifa hili, ninapenda nchi hii iongozwe kidemokrasia kupitia mbinu shirikishi na uongozi wa kijeshi.
Yaani wanajeshi wenye elimu wapewe kozi za kuwawezesha kuwa wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, makatibu tarafa na watendaji wa kata(katibu kata) au wakurugenzi.
Hapo itakua vyema zaidi katika kuitumia nguvu kazi yote ya watendaji wa umma.
Nawasilisha.
Kwa awamu ya tano.(Chini ya ukawa au CCM). Kwa ubora wa taifa hili, ninapenda nchi hii iongozwe kidemokrasia kupitia mbinu shirikishi na uongozi wa kijeshi.
Yaani wanajeshi wenye elimu wapewe kozi za kuwawezesha kuwa wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, makatibu tarafa na watendaji wa kata(katibu kata) au wakurugenzi.
Hapo itakua vyema zaidi katika kuitumia nguvu kazi yote ya watendaji wa umma.
Nawasilisha.