Tanzania ya Vi-wonder

Kilimo Faida

New Member
Joined
Apr 16, 2017
Posts
4
Reaction score
0
Asilimia 40 ya mazao yanayovunwa Tanzania, yanaharibika kabla ya kumfikia mtumiaji kwa kukosa vifaa vya kuhifadhi mazao lakini pia kwa kukosekana viwanda vya kusindika.

SIDO wako wapi na wanafanya kazi gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…