Tanzania ya 'Rais Lowassa'

eti aseme a, b, c, aahidi d,e,f akiri g,h,i n.k kumanina!
 
Mwisho wa njama za kulisha watu maarufu sumu ni 2015, nchi itakapokuwa inaongozwa na watu makini.
 
ikulu pana biashara gani pale?
Muogopeni kama ukoma!
Hizo hela atazirudishaje?
Hizo hela umezipata wapi!
Akinunua wapiga kura, nae kanunuliwa huyo!
 

Mkuu mbona tunaishia kwa Richmond na Dowans tu vipi kuhusu Symbion? Richmond iliuza kwa dowans, Dowans akauza kwa Symbion lakini huwa hatuigusi Symbion!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…