Kichwa Kontena
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 661
- 565
watu tulikua wangapi??? nani alikua anaogoza nchi?? nani alikua msemaji na mwenye sauti ya mwisho???la Kipindi kile nchi ilikua mbele kimaendeleo kuliko sasa!Ajira zilikuwepo angalau,viwanda vingi nchi nzima railway ilikua na ufanisi mkubwa,mashirika ya umma yalimea mf NMC,RTC, nk,Hatukulipia huduma za matibabu hosp ilikua bure!elimu ilikua bora zaidi shule za government...faftari,kalamu bure!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ww mwehu kweli hutakua serious kwny txt zote ila sio ya MPESAyaani haukuelewa alichosema? hivi mnakuwaga serious wakati mnasoma nini? meseji za mpesa?
Miaka ya 80 filamu za Kihindi zilikuwa maarufu sana.
Baadhi ya wacheza filamu nyota wa kipindi hicho, kama Mithun Chakraborty, kwa mfano, walikuwa wanakuja hadi Tanzania.
Pia ni miaka ambayo mitindo ya nywele kama 'shegi' na 'panki' ilivuma sana.
Na kama sijakosea, madawa ya kubadilisha nywele [kali kiti - curl kit] ndo yaliingia nchini.
Baada ya vita ya Kagera.Kulikuwa na msemo wa miazi 18
Ya uvumilivu.Kila Jumatatu na Jumatano tunakwenda duka la ushirika(baada ya kuchukua bidhaa RTC) tunapiga foleni ndefu ya Unga wa Yanga(manjano) mafuta ya kupikia na sukari.Shule nyingi zilikuwa za kulipia serikali ikazi fanya bure.Mabasi ya railway na ya kamata ndio usafiri.Pamoja na yote hayo Tanzania ilikuwa nzuri.Tulikuwa hatujali TV maana hakuna.Simu inabidi uende kwa jirani(waringaji wakubwa na simu zao) au uende posta unaingizwa kwenye (call box) Duh tumetoka mbali.Dar,Mwanza,Tanga na Arusha zilikuwa safiiiiiiii
Na ukifika katika Hiyo miji lazima uripoti kwa mjumbe wa nyumba kumi.
Mkuu huyo Nkapa na familia yake ndio walio filisi nchi yetu.Banks nyingi lakini inayo niuma zaidi ni ya NBC Kabla hajawapa makaburu.Viwanda alivyo vigawa kwa familia yake na wapambe wake.Watu wengi walisota wakati wa utawala wake na Bila ya kusahau mauwaji ya Wazanzibar.Yule nkapa Mungu anamuona.shenzi taipuAnd i $=5Tz ndiyo sababu kuna kitu naitwa dala dala.
Miaka ya 80 kabla ya vita ya Kagera pamoja na matatizo ya JON uchumi ilikuwa very strong.Kama Taifa ilimiliki viwanda vingi.Wakati Me into anatoa madarakani $=250 of not 100.
Baada ya kuingia Mkapa pamoja n.a. kuu a viwanda na Bank ya BBC $=1200,hivyo majambazi ya Raslimali zetu yalianzia hasa kipindi cha Mkapa ambaye mpaka leo kodi zetu ndizo zinamlisha,zinamnyeshwa na Kumvisha.
Wakati wa tawala ga Mkapa ndipo Watawala lea ulafi walijilimbikizia Mali kupindukia.Ni aibu leo Mkapa kiwatukana wapinzani wakati yeye ndiyo chanzo cha kuuza Raslimali zetu.
Mkuu huyo Nkapa na familia yake ndio walio filisi nchi yetu.Banks nyingi lakini inayo niuma zaidi ni ya NBC Kabla hajawapa makaburu.Viwanda alivyo vigawa kwa familia yake na wapambe wake.Watu wengi walisota wakati wa utawala wake na Bila ya kusahau mauwaji ya Wazanzibar.Yule nkapa Mungu anamuona.shenzi taipu
Ana haki ya kutuita sisi Malofa
Duuu wahenga nyie,mbona leo hakuna kureport ukienda sehemu au watu wamekuwa wengi mno?Baada ya vita ya Kagera.Kulikuwa na msemo wa miazi 18
Ya uvumilivu.Kila Jumatatu na Jumatano tunakwenda duka la ushirika(baada ya kuchukua bidhaa RTC) tunapiga foleni ndefu ya Unga wa Yanga(manjano) mafuta ya kupikia na sukari.Shule nyingi zilikuwa za kulipia serikali ikazi fanya bure.Mabasi ya railway na ya kamata ndio usafiri.Pamoja na yote hayo Tanzania ilikuwa nzuri.Tulikuwa hatujali TV maana hakuna.Simu inabidi uende kwa jirani(waringaji wakubwa na simu zao) au uende posta unaingizwa kwenye (call box) Duh tumetoka mbali.Dar,Mwanza,Tanga na Arusha zilikuwa safiiiiiiii
Na ukifika katika Hiyo miji lazima uripoti kwa mjumbe wa nyumba kumi.
Mwinyi hakupigiwa kura?na ilikua mwaka ganiUkisema miaka ya 80 ndio Turn point ya Tanzania ilipoanza
Kuteka ndege ya ATC na akina Member Lee kutoka Mwanza hadi Uingereza wakidai Nyerere ajiuzuru
Vita ya hujumu uchumi kuna wahindi walimwaga pesa barabarani.
Kufukuzwa kazi makamu wa kwanza wa raisi Jumbe na kuvuliwa hadhi zote hadi akawekwa under house arrest.
Kifo cha Waziri Mkuu Sokoine kilishtua umma,ili kupoza hasira za wananchi Nyerere akamteua Salim Mohamed Salim kuwa Waziri Mkuu.
Uncle Tom alikula njama na maofisa wa jeshi kumpindua raisi Nyerere,lakini jaribio lilizimwa na watu kadhaa kukamatwa,Commando Tamimu aliepanga kumua Nyerere alipigwa risasi na kachero Mabele Marando.
Nyerere alingatuka chini ya shindikizo za nje na ndani mwaka 1985.Mwinyi akachguuliwa raisi wa Tanzania.
Casius Clay (Mohamed Ally) alikuja kipindi hichi piaMiaka ya 80 filamu za Kihindi zilikuwa maarufu sana.
Baadhi ya wacheza filamu nyota wa kipindi hicho, kama Mithun Chakraborty, kwa mfano, walikuwa wanakuja hadi Tanzania.
Pia ni miaka ambayo mitindo ya nywele kama 'shegi' na 'panki' ilivuma sana.
Na kama sijakosea, madawa ya kubadilisha nywele [kali kiti - curl kit] ndo yaliingia nchini.
Wakati mwingine Lugha yako huwa sio ya STAHAMiaKa hiyo vyuma vilikaza kuliko Hali ilivyokuwa sasa Mpumbavu wa wakati huo Kichaa chake kikampanda akaanzisha 'Uhujumu uchumi' kutesa na kufilisi Watu Kama afanyavyo Kichaa wa sasa japo juhudi hizo hazukumsaidia chochote 'Mnyonge' aliekuwa anatetea asihujumiwe
1985Mwinyi hakupigiwa kura?na ilikua mwaka gani