Tanzania ya kilimo

Tanzania ya kilimo

massmedia50

Member
Joined
Sep 19, 2013
Posts
38
Reaction score
5
Tanzania ndiyo nchi pekee duniani ambayo kilimo hufanyika vijijini lakini maonyesho ya nane nane hufanyika mijini tena mkoani na wanaotawala maonyesho hayo kwenye media ni viongozi wenye nyadhifa kubwa ambao sio wakulima.

Think Big.
 
Umeshaambiwa kwa sasa Tanzania ni ya Viwanda...hivyo nyie wakulima mtajijua.
 
Back
Top Bottom