Tanzania: Vyeti bandia, elimu za kununua na watumishi vihiyo

Kumbe Mheshimiwa waziri wa elimu pia naona alikasoma haka ka ujumbe. Ila mi huu uzi ninaupenda sana. Hapa hili likifanikiwa tutakuwa na strong institutions huko makazini
 
Baba Jessica kilaza mwendo kasi binti yake Jessica kilaza mwendo kasi. Ni hatari tupu!
 
Hili jipu mbona haliivi?? Waandishi wa Habari andikeni pia kuhusu hili. Ina maana huu uzi waziri wa elimu hauoni??? Ngoja niupandishe tena.

Tanzania tusingesonga mbele kama haya mambo ya short cut yasingeanza kuonekana.
It begins with you!
 
Dah!ningejua ningebaki Czech Rep!rafik YANGU alinishaur nibadil uraia nikakataa,watu wenye elimu feki ndio wako kwenye system wanakula bata,huku sisi watoto wa mama ntilie na elimu yetu tunapigwa vumbi kwenye ajira isio Rasmi huku ndo tunawalipia kodi vihiyo
 
Haka ka uzi huwa nakapenda sana. Ngoja nikasogeze ili Mheshimiwa awe anakaona ona kidogo.
 
Mheshimiwa Rais, nina sana na haka kauzi. Ni ka toka mwaka 2006, miaka kumi imeisha. Si kafanyiwe kazi kidogo.
 
Matokeo yake wameharibu elimu mara utasikia div 5, mara GPA, mara twisheni, mara msululu wa vitabu, wabunge kila kitu ni Ndiyooo.. Raisi asifanye utani aulize hspa jf kuna majibu yote.
 


Shukrani mkuu, wakati umefika kwa Tanzania kusafishwa. Wewe jiulize mtu hajasoma eti anapewa wizara nyeti serikalini aiongoze. Mtu kama huyu ataleta ufanisi gani katika wizara husika?
 
Mwanzilishi wa Kuuza vyeti na mitihani yuko hapa Dar ana Kijiji cha Maghorofa.
 
 
wageni wanaofanya kazi nchini ni vyema wakakaguliwa vyeti vyao na welesi wao katika kazi. Naona udhaifu mkubwa wa serikali yetu kufanya work permit kama chanzoncha mapato nchini Matokeo yake wanaingiza vihiyo wanaosababisha RAIA kukosa ajira. Naomba suala la vyeti liende had I kwenye taasisi binafsi na NGOs maana huko ndiko wamejaa makanjanja wa elimu duniani.
 
Watanzania wenzangu,hivi mpaka sasa hamuoni kuwa kuna umuhimu wa PhD za watu kuhakikiwa?

Naomba mawazo yenu katika hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…