Mpira ni saa tisa kamili kulingana na ratiba ya supersport japo haitaoneshwa kwenye channel za supersport. Itaoneshwa TBC1 na kwa wasio na ving'amuzi ni tbc taifa itatangazwa. Kwa mujibu wa taarifa ya habari za michezo jana usiku tbc1.
Mpira ni saa tisa kamili kulingana na ratiba ya supersport japo haitaoneshwa kwenye channel za supersport. Itaoneshwa TBC1 na kwa wasio na ving'amuzi ni tbc taifa itatangazwa. Kwa mujibu wa taarifa ya habari za michezo jana usiku tbc1.
Sasa hawa jamaa wanaanza saa ngapi mechi? Mbona haioneshwi tena? Jana wamesema wao wenyewe kuwa wataonesha sasa vp!!!!! Tbc ni kimeo cha taifa aisee kama walimtuma aropoke nn