Tunakwenda Kuandika Historia Mpya Katika Nchi Yetu Siku Ya Jumapili Ya Tarehe 25 October 2015 Historia Hii Ni Ya Kujitwalia Madaraka Kwa Watanzania Chini Ya Mkoloni Mweus Akijificha Kwa Uzalendo Mimi Natamani Sana Kuifikia Siku Hiyo Na Kuwa Mmoja Wa Wanahistoria