Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 2,217
- 3,017
Tanzania ni nchi ya ajabu hata wafundisha careers ma professor ma Dakitari bingwa wana uchumi bingwa ni wana siasa, sasa hao utawapata wapi, bila siasa Tz hutobowi.......Toka dunia hii iumbwe Tanzania tumekuwa na viongozi wa ngazi za juu ambao ni wanasiasa.
Yaani unakuta Raisi ni mwanasiasa kwa miaka mingi, Waziri mkuu ni mwanasiasa n.K
Kuna baadhi ya mataifa yanachagua mtu kwa sera zake ata kama sio mwanasiasa. Angalia 2016 Trump alivyopata nomination ya Republican na kuwagaragaza wanasiasa machachari kina Ted Cruz, Rubio, Jeb Bush n.k
Trump alimshinda mwanadiplomasia nguli Hilary Clinton kwenye uchaguzi mkuu, kama taifa kubwa kama US wanachagua ntu ambaye hajawai kuwa ata mjumbe wa nyumba kumi kuwa raisi why sisi tungangane na wanasiasa?
Angalia maraisi kama Ronald Regan, kina Zelensky sio wanasiasa.
Ukiuliza watu 2030 nani anafaa kutuongoza watu watakutajia kina, Mwiguru, Makamba, Majaliwa n.K
Hivi Tanzania ni lazima tuongozwe na Wanasiasa?
Karibu
Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app
Mtu amekuwa mbunge kwa 15yers unasema hakuwa mwanasiasaMagu hakuwa Mwanasiasa!!!
Pia ajaye hatokuwa politician, atakuwa Nabii wa kabila la Yuda!!
Ndo maana ata kwa kumtambulisha walikuwa wanamuita businessman Dond Trump,Kwani mwanasiasa ni mtu wa namna Gani??
Trump ni mwanasiasa kitambo hata kama alikuwa hajawahi kushika wadhifa wa kisiasa kabla hajawa Rais.
Tupe tafsiri ya Mwanasiasa.Mtu amekuwa mbunge kwa 15yers unasema hakuwa mwanasiasa
Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app
Angalia eti Bashite na Sabaya walikuwa viongozi jamaniTanzania ni nchi ya ajabu hata wafundisha careers ma professor ma Dakitari bingwa wana uchumi bingwa ni wana siasa, sasa hao utawapata wapi, bila siasa Tz hutobowi.......
Yaani unasema Ronald Regan ni raisi wa hovyo alishinda states 51 kasoro moja tuWote uliowataja kama relevance ni Marais wa Hovyo.......
A person who is professional involved in politics!!
Rais lazima atoke ccm, Rais lazima awe mwenyekiti wa chama. Rais lazima azingue sababu anabebwa na katiba haramu ya 1977Toka dunia hii iumbwe Tanzania tumekuwa na viongozi wa ngazi za juu ambao ni wanasiasa.
Yaani unakuta Raisi ni mwanasiasa kwa miaka mingi, Waziri mkuu ni mwanasiasa n.K
Kuna baadhi ya mataifa yanachagua mtu kwa sera zake ata kama sio mwanasiasa. Angalia 2016 Trump alivyopata nomination ya Republican na kuwagaragaza wanasiasa machachari kina Ted Cruz, Rubio, Jeb Bush n.k
Trump alimshinda mwanadiplomasia nguli Hilary Clinton kwenye uchaguzi mkuu, kama taifa kubwa kama US wanachagua ntu ambaye hajawai kuwa ata mjumbe wa nyumba kumi kuwa raisi why sisi tungangane na wanasiasa?
Angalia maraisi kama Ronald Regan, kina Zelensky sio wanasiasa.
Ukiuliza watu 2030 nani anafaa kutuongoza watu watakutajia kina, Mwiguru, Makamba, Majaliwa n.K
Hivi Tanzania ni lazima tuongozwe na Wanasiasa?
Karibu
Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app
Refers kwenye title ya uzi nimesema career politician, sasa Magu toka 95 yupo siasani anagombea na kupigiwa kura afu unasema sio mwanasiasaA person who is professional involved in politics!!
Niko sawa, Magu hakuwa politician.
Hakusomea siasa kama kina Kinana nk.
Hakuwahi kuwa hata balozi, diwani!!!!
Rais lazima atoke ccm, Rais lazima awe mwenyekiti wa chama. Rais lazima azingue sababu anabebwa na katiba haramu ya 1977
Tunatofaoutiana u hovyo tunavyo uchukulia......Yaani unasema Ronald Regan ni raisi wa hovyo alishinda states 51 kasoro moja tu
Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app
Rais anaweza kuwa siyo mwanasiasa ?Toka dunia hii iumbwe Tanzania tumekuwa na viongozi wa ngazi za juu ambao ni wanasiasa.
Yaani unakuta Rais ni mwanasiasa kwa miaka mingi, Waziri mkuu ni mwanasiasa n.K
Kuna baadhi ya mataifa yanachagua mtu kwa sera zake ata kama sio mwanasiasa. Angalia 2016 Trump alivyopata nomination ya Republican na kuwagaragaza wanasiasa machachari kina Ted Cruz, Rubio, Jeb Bush n.k
Trump alimshinda mwanadiplomasia nguli Hilary Clinton kwenye uchaguzi mkuu, kama taifa kubwa kama US wanachagua ntu ambaye hajawai kuwa ata mjumbe wa nyumba kumi kuwa raisi why sisi tungangane na wanasiasa?
Angalia maraisi kama Ronald Regan, kina Zelensky sio wanasiasa.
Ukiuliza watu 2030 nani anafaa kutuongoza watu watakutajia kina, Mwiguru, Makamba, Majaliwa n.K
Hivi Tanzania ni lazima tuongozwe na Wanasiasa?
Karibu
Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app
Ok mie kwangu na Trump walikuwa poaTunatofaoutiana u hovyo tunavyo uchukulia......
Alikuwa popular president, ila wa hovyo.
Tuna ugaidi mpaka Leo sababu ya US chini ya uongozi wake walifund Jihad fighters ( Mujahedeen).
Ni huyu Regan ndio aliita Tanzania delegation monkeys.