Tanzania Postal Bank

Tanzania Postal Bank

sambb

Member
Joined
Jan 21, 2014
Posts
33
Reaction score
12
Nimeitwa interview alhamisi tarehe 12 june 2014 tanzania postal bank, post ya credit officer group lending. Jamani wanalipa kiasi gani kwa hii post?? Salary na allowance?
Thanks
 
Salary gross 176,879/= allowance ni kama ifuatavyo
1.chai bure vitumbua vya kwako
2.tshirt ya kuvaa jmosi bure
3.kupigwa gemu na meneja kama wewe ni demu
4.kupewa diary bure
 
Salary gross 176,879/= allowance ni kama ifuatavyo
1.chai bure vitumbua vya kwako
2.tshirt ya kuvaa jmosi bure
3.kupigwa gemu na meneja kama wewe ni demu
4.kupewa diary bure

Zakuambiwa, chanya na zako, ila sijaelewa kama mtu ukiitwa kwenye interview ndio unakua tayari umepata kazi au kuna maswali ktk interview yanayoendana na mshahara utakao lipwa baadaye?
 
Salary gross 176,879/= allowance ni kama ifuatavyo
1.chai bure vitumbua vya kwako
2.tshirt ya kuvaa jmosi bure
3.kupigwa gemu na meneja kama wewe ni demu
4.kupewa diary bure

kwa akil hizi utakua GOGO au kigogo?
 
Back
Top Bottom