Tanzania postal bank sales executive

Tanzania postal bank sales executive

Guys same to me nimepigiwa simu kwenye similar post TPB niaje tupen possible ama written inakuagaje waungwana, msaada tutan tafadhali.
 
Duh ulipigiwa simu waliku heshimu sana mi nimetumiwa message kidogo nijue ya demu wangu kumbe interview..cha msingi tujue hio written ni maswal ya aina gani aptitude test au ndo ya darasani maana hawasomeki hawa...!
 
mh!! kwa taarifa na tetesi nilizonazom kutoka kwa baadhi ya watu wenye uzoefu na hizo ishu, wanasema kuwa maswali yatakayo ulizwa ni ka manne hivi na utayafanya kwa muda wa dakika 45, zen watakaofaulu wataitwa kwenye usili wa pili ambao utakuwa ORAL siyo tena WRITTEN nao utakuwa kwa hawamu 2 hivi zen watachuja watu mpaka watakapo pata hao 30 wanaowaitaji. ila kumbuka akili yako yote iandae kwenye maswali ya mauzo kama ajira inavyoitaji, mfano unaweza kuulizwa ufanye nini ili uweze kuongeza wateja. kiujumla ni maswali ya applicatio tu. vitu ka hivyo kazini nzuri kwa upande wamalipo and other beneficiary, ukifanya vizuri pindi ukimaliza interview unaweza kupewa mkataba mwingine. ni hayo tu wakuu mwenye kuongeze, kukosoa mnakaribishwa. coz kila mtu na mtaamo wake!!
 
Jamani mimi nemefanya oroal interview ya sales awamu ya kwanza na hatukupewa written interview, na kazi tumepata wiki hii, hebu jaribuni kuuliza vizuri kwa kupiga simu ili muwe n auhakika kuhusu writen interview, kwa tetesi nilizo nazo hivi sasa post za sales executive hamtakiwi kufanya written interview, message zimekosewa, hizo written ni kwa ajili ya post nyingine
 
Sio kweli nimeuliza wamesema tuna anza na written then oral...nyie bahati yenu may be wame change stategy oral ilikuaje bhooke..
 
bhooke funguka vizuri kwenye maswali ya oral enterview,utasaidia saaaana!one loe
 
bhooke funguka vizuri kwenye maswali ya oral enterview,utasaidia saaaana!one love
 
bhooke unaweza saidia na Salary and Remuneration package katika negotiation!
 
Duh ulipigiwa simu waliku heshimu sana mi nimetumiwa message kidogo nijue ya demu wangu kumbe interview..cha msingi tujue hio written ni maswal ya aina gani aptitude test au ndo ya darasani maana hawasomeki hawa...!
mkuu ulifikiri unataka kupigawa kirungu na demu wako
 
Back
Top Bottom