Tanzania, maendeleo hadi.....

Indume Yene

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
2,968
Reaction score
727
Ili tuendelee....twahitaji mambo manne (Unakumbumbuka wimbo huu?)
Watu kwanza, ardhi pili...............utamalizia.



 
Ili tuendelee....twahitaji mambo manne (Unakumbumbuka wimbo huu?)
Watu kwanza, ardhi pili...............utamalizia.




nashindwa elewa ,jamaa anachezea laptop akiwa juu ya gari ni mwandishi wa habari au nani?
 
nashindwa elewa ,jamaa anachezea laptop akiwa juu ya gari ni mwandishi wa habari au nani?

NZIRIYE.. Sidhani kama ni sahihi kusema jamaa ''ANACHEZEA LAPTOP'' ungefikiri POSITIVELY hii si sawa
 
Trying to get internet connection
 
pili ni uongozi mbovu wa ccm,
 
Huyu ni mwandishi wa habari alikuwa kwenye msafara wa kamati ya bunge ya hesabu za mashirika ya umma akitokea liganga kwenye chuma ( kamati ya Zito)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…