Indume Yene Platinum Member Joined Mar 17, 2008 Posts 2,968 Reaction score 727 Mar 9, 2011 #1 Ili tuendelee....twahitaji mambo manne (Unakumbumbuka wimbo huu?) Watu kwanza, ardhi pili...............utamalizia.
Ili tuendelee....twahitaji mambo manne (Unakumbumbuka wimbo huu?) Watu kwanza, ardhi pili...............utamalizia.
Maria Roza JF-Expert Member Joined Apr 1, 2009 Posts 6,802 Reaction score 1,606 Mar 9, 2011 #2 Matumizi mabaya ya mali za uma
nziriye JF-Expert Member Joined Jan 23, 2011 Posts 1,050 Reaction score 365 Mar 9, 2011 #3 Indume Yene said: Ili tuendelee....twahitaji mambo manne (Unakumbumbuka wimbo huu?) Watu kwanza, ardhi pili...............utamalizia. Click to expand... nashindwa elewa ,jamaa anachezea laptop akiwa juu ya gari ni mwandishi wa habari au nani?
Indume Yene said: Ili tuendelee....twahitaji mambo manne (Unakumbumbuka wimbo huu?) Watu kwanza, ardhi pili...............utamalizia. Click to expand... nashindwa elewa ,jamaa anachezea laptop akiwa juu ya gari ni mwandishi wa habari au nani?
G Gad ONEYA JF-Expert Member Joined Oct 26, 2010 Posts 2,629 Reaction score 172 Mar 9, 2011 #4 Sijaelewa hapa!
mooduke JF-Expert Member Joined Oct 28, 2010 Posts 630 Reaction score 112 Mar 9, 2011 #5 nziriye said: nashindwa elewa ,jamaa anachezea laptop akiwa juu ya gari ni mwandishi wa habari au nani? Click to expand... NZIRIYE.. Sidhani kama ni sahihi kusema jamaa ''ANACHEZEA LAPTOP'' ungefikiri POSITIVELY hii si sawa
nziriye said: nashindwa elewa ,jamaa anachezea laptop akiwa juu ya gari ni mwandishi wa habari au nani? Click to expand... NZIRIYE.. Sidhani kama ni sahihi kusema jamaa ''ANACHEZEA LAPTOP'' ungefikiri POSITIVELY hii si sawa
255legend Member Joined Mar 6, 2009 Posts 97 Reaction score 34 Mar 9, 2011 #6 hii mbona imetulia, i like the creativity!!!
MadameX JF-Expert Member Joined Dec 27, 2009 Posts 7,792 Reaction score 3,860 Mar 9, 2011 #7 Trying to get internet connection
tzjamani JF-Expert Member Joined Oct 9, 2010 Posts 995 Reaction score 33 Mar 9, 2011 #8 Maria Roza said: Matumizi mabaya ya mali za uma Click to expand... Hapa sina uhakika...Akiwa porini na internet iko slow ukapanda hapo juu signal iko poa kidogo.........ni ufisadi?
Maria Roza said: Matumizi mabaya ya mali za uma Click to expand... Hapa sina uhakika...Akiwa porini na internet iko slow ukapanda hapo juu signal iko poa kidogo.........ni ufisadi?
Seto JF-Expert Member Joined Jan 15, 2011 Posts 953 Reaction score 57 Mar 9, 2011 #9 pili ni uongozi mbovu wa ccm,
K Kijery New Member Joined Feb 25, 2011 Posts 1 Reaction score 0 Mar 9, 2011 #10 Huyu ni mwandishi wa habari alikuwa kwenye msafara wa kamati ya bunge ya hesabu za mashirika ya umma akitokea liganga kwenye chuma ( kamati ya Zito)
Huyu ni mwandishi wa habari alikuwa kwenye msafara wa kamati ya bunge ya hesabu za mashirika ya umma akitokea liganga kwenye chuma ( kamati ya Zito)