Tanzania kuna fursa lukuki na unafuu wa maisha, usijidanganye mamtoni ndio Life kitonga

Moto wa volcano

JF-Expert Member
Jun 3, 2018
770
1,898
Tanzania ni kati ya nchi za Duniani ambayo ina unafuu mkubwa wa maisha na fursa lukuki ukilinganisha na mataifa mengine, ni kutuliza tu akili yako kusaka ramani.

Wapo vijana ambao wanadanganyana kwamba ukizamia SA au mamtoni Life linakuwa kitonga.

Nilikuwa naangalia makala ya chombo kikubwa cha habari, Taifa la Marekani jiji la NY lina watu wanakadiriwa 650 wanalala nje hawana nyumba, sasa wewe baharia jichanganye uzamie huko huna mjomba wala shangazi, utajua hujui.
 
Tanzania ni kati ya nchi za Duniani ambayo ina unafuu mkubwa wa maisha na fursa lukuki ukilinganisha na mataifa mengine ni kutuliza tu akili yako kusaka ramani ,

Wapo vijana ambao wanadanganyana kwamba ukizamia SA au mamtoni Life linakuwa kitonga

Nilikuwa naangalia makala ya chombo kikubwa cha habari , Taifa la Marekani jiji la NY linawatu wanakadiliwa 650 wanalala nje hawana nyumba , sasa wewe baharia jichanganye uzamie huko huna mjomba wala shangazi , utajua hujui
Hebu tuandikie hiyo namba kwa maneno tujue ukubwa wa tatizo. lakini unamaainisha watu Mia sita na hamsini basi huko maisha ni mazuri sana kwa jiji kubwa kama New York
 
Tanzania ni kati ya nchi za Duniani ambayo ina unafuu mkubwa wa maisha na fursa lukuki ukilinganisha na mataifa mengine, ni kutuliza tu akili yako kusaka ramani.

Wapo vijana ambao wanadanganyana kwamba ukizamia SA au mamtoni Life linakuwa kitonga.

Nilikuwa naangalia makala ya chombo kikubwa cha habari, Taifa la Marekani jiji la NY lina watu wanakadiriwa 650 wanalala nje hawana nyumba, sasa wewe baharia jichanganye uzamie huko huna mjomba wala shangazi, utajua hujui.
Mungu Ibariki Tanzania.

Naunga mkono hoja.
 
Hebu tuandikie hiyo namba kwa maneno tujue ukubwa wa tatizo. lakini unamaainisha watu Mia sita na hamsini basi huko maisha ni mazuri sana kwa jiji kubwa kama New York
Huko sio poa walioenda wanasema usije
 
Exposure hauna ila unataka kushauri watu wanaozamia ili wakatafute maisha, kazi kweli kweli. Hapo ukute hata visa ya nchi yeyote hujawahi kuwa nayo.
 
IMG-20211215-WA0004_094154.jpg
 
Exposure hauna ila unataka kushauri watu wanaozamia ili wakatafute maisha, kazi kweli kweli. Hapo ukute hata visa ya nchi yeyote hujawahi kuwa nayo.
Huna akili , we unadhani taarifa au Hiyo Exposure inakuja kwa kuzunguka tu sikuhizi Dunia imefunguka we get information through different platforms
 
Wakina makimuga mkishafeli huko mambele mnataka kumkatisha tamaa kila mtu anayetaka kwenda huko.
Unasema kuna watu 650 wanalala nje huko New york unasahau kuwa population ya New york ni zaidi ya watu milion 19.
 
Wakina makimuga mkishafeli huko mambele mnataka kumkatisha tamaa kila mtu anayetaka kwenda huko.
Unasema kuna watu 650 wanalala nje huko New york unasahau kuwa population ya New york ni zaidi ya watu milion 19.
Hhhh unanifurahisha na kuniskitisha @ the same time .. nilichozungumza ni kwamba watu wasikimbilie huko wakadhani ndio kuna unafuu wa Maisha na fursa kuliko TZ
 
Hhhh unanifurahisha na kuniskitisha @ the same time .. nilichozungumza ni kwamba watu wasikimbilie huko wakadhani ndio kuna unafuu wa Maisha na fursa kuliko TZ
Fursa zipo nyingi huko ila inabidi mtu akaze kwelikweli,sio unakaa US au UK kimandazi halafu unategemea kufanikiwa kisa tu upo nchi ya wazungu.
Swahililand kuna watu wana nguvu,wana nia dhabiti na juhudi ya kufanya kazi lakini wanakosa kazi za kufanya.Mambele kazi ni nyingi,unaweza kufanya kazi hata tatu kwa siku.
Homeless wengi uko ughaibuni ni wazawa ambao wanabagua kazi za kufanya.
 
Fursa zipo nyingi huko ila inabidi mtu akaze kwelikweli,sio unakaa US au UK kimandazi halafu unategemea kufanikiwa kisa tu upo nchi ya wazungu.
Swahililand kuna watu wana nguvu,wana nia dhabiti na juhudi ya kufanya kazi lakini wanakosa kazi za kufanya.Mambele kazi ni nyingi,unaweza kufanya kazi hata tatu kwa siku.
Homeless wengi uko ughaibuni ni wazawa ambao wanabagua kazi za kufanya.
Umesomeka
 
Back
Top Bottom