Tanzania huru inakuja

Superhuman 1995

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2020
Posts
1,520
Reaction score
2,478
Siku nzuri imekaribia

Tanzania ya watanzania iko karibu,

Hakutakuwa na dhuruma na uchawa Tena wala ufisadi wa kutisha, Tanzania ya haki na ya wazalendo wa kweli iko njiani,

Ole wake wachafu au walioshiriki katika dhuruma wakati sio wao sasa,heri sasa waponye nafsi zao kwa kukimbia nchi, maana mambo Hayako upande wao

 
Tutaanzia magereza kumchukua lissu then tutaeenda nae moja kwa moja magogoni kuapishwa
 
Kamanda alikuwa anaongea kwa hisia kiasi kile, halafu wapumbavu wanaleta porojo zao za siku zote! Kikwete kaambiwa ukweli ni janga kwa Taifa, Samia naye kaambiwa ukweli uwezo hana! Na pia amejipitisha kuwa mgombea kinyume na utaratibu!

Hongera sana Captain Tesha kwa kujitoa muhanga kulipigania hili Taifa.
Nina imani wewe pamoja na wenzako wengi tu mlifikia kiwango cha mwisho cha kuvumilia huu ujinga unaondelea kutamalaki nchini. Na uzuri umeusema wote.


Hakika wazalendo na wapenda mabadiliko ndani ya hii nchi tumefarijika sana kwa tamko lako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…