Suala la msingi unapaswa ufahamu,mbio si za wenye kasi,na mapambano si kwa wenye nguvu.japan ni kisiwa ambapo hawana madini,natural resources kama mbuga,highest mountains,gas,rivers,lakes etc.nchi ya phillipines ama wanajiita tigers ni kati ya nchi zinazokua kwa kasi asia but 25 yrs ago ilikuwa ni nchi masikini kama tz.ni nini basi kilifanyika?na nani alileta mabadiliko?ni waziri wao mkuu aliyekuwa madarakani kwa miaka 25 aliweza kuitoa kutoka third world to be among the developed countries.rwanda,ingawa bado haijakuwa developed lakini ndio inapoelekea ni nini hasa kimechangia?uongozi wa rais Kagame,,najua watu watasema oohh ni nchi ndogo ntawajibu sawa je zanzibar ni kubwa?madagascar je?UONGOZI,UONGOZI,UONGOZI,,KUNA KIJANA mmoja alitengeneza caterpillar kwa kutumia chuma,guess what?sijui yupo wapi sa hv?na kuna kiongozi hadi alimsifia..tunaua vipaji,tunajali matumbo ambayo ukila kilimanjaro hotel kitaenda chooni,utanunua gari baada ya miaka 10 ni scrapper.tunataka viongozi wasio na uchu wa mali,,maana kuna chama kinasema UCHU WA MADARAKA,hata kagame alikuwa nao kwa ajili ya kuleta maendeleo ya nchi yake.SASA TUNATAKA MTU MWENYE UCHU WA MADARAKA KWA AJILI YA KULETA MABADILIKO.Sio mtu akipewa cha juu anakuwa kimya.