southern trader
Member
- May 2, 2023
- 35
- 22
nashangazwa kuona wasomi wanchi wanaunga kuiteketeza nchi, ukizungumzia bandari ndio uchumi wa nchi na bandari ndio huamua imports na exports yan kipi kiingie kipi kitoke, na kisikitisha zaidi maelfu yawatanzania wamejiajili huko inamaana bandari zikibinafsishwa watanzania wataenda kunyanyaswa nakuzurumiwa hakizao, je tuseme elim inatusaidia nawakati terms za mkataba zipo wazi hazikubaliki kwa watanzania
Tamaa zaviongozi wetu wajaza matumbo zitaighalim nchiyetu miaka mingi mnoo


Tunacho takiwa kujua dunia ipo under capitalism na dp world sio wajinga wamiliki bandari kwamanufaa yawatanzania niishu ambayo haiwezekani kwasababu capitalism is all about capital maximization
hivyo tutaibiwa vingi kwakuwa wakaguzi tutakua sio sisi na selkari haitahusika chechote maeneo ya bandarini
Note from bible" watuwangu wanaangamizwa kwakukosa maalifaa"
we are going to suffer
Tamaa zaviongozi wetu wajaza matumbo zitaighalim nchiyetu miaka mingi mnoo



Tunacho takiwa kujua dunia ipo under capitalism na dp world sio wajinga wamiliki bandari kwamanufaa yawatanzania niishu ambayo haiwezekani kwasababu capitalism is all about capital maximization
hivyo tutaibiwa vingi kwakuwa wakaguzi tutakua sio sisi na selkari haitahusika chechote maeneo ya bandariniNote from bible" watuwangu wanaangamizwa kwakukosa maalifaa"
we are going to suffer