Mkuu ingekuwa vizuri ukaweka chanzo cha habari yako.
Ninavyoelewa mimi, ujenzi wa reli ya standard gauge Kenya umegawanywa katika awamu (phases) 2:
Phase 1 - Mombasa / Nairobi. Ujenzi unaendelea
Phase 2 - Nairobi / Malaba / Kisumu. Ujenzi haujaanza ila unategemewa kukamilika 2018.
Hata km hawajakamilisha lkn Mwanzo huo unaonyesha dalili nzuri za kimaendeleo kwa wenzetu Wakenya.
Wenzetu Kenya wamekamilisha ujenzi wa reli ya standard gauge,kwa maana hiyo garama za kusafiri na kusafirisha bidhaa zitakua chini na hivyo kukuza Mara moja biashara ndani na nje ya Kenya.
Tanzania ifike mahali tuwe na dhamila ya dhati ya kuleta maendeleo kwa wananchi.
Tuimarishe reli yetu, ya Dar-Pwani-Tanga-Arusha. Then Dar-Pwani-Moro-Dom-Singida-Tabora-Kigoma.Tabora- Shinyanga-Mwanza.
Hiyo reli ikisimamiwa vizuri pengine Tanzania inaweza kuwa tajiri kukiko nchi zote za maziwa makuu na kusini Mwa jangwa la sahara sababu bandari zetu zitakua imara zaidi mazao yetu ya kilimo yataweza kuuzika ndani na nje kwa wepesi mno.
Mungu ibariki Tanzania.
Kina riz 1 wanamiliki scania zaid ya 1000 unataka reli ili wafe njaa
Wenzetu Kenya wamekamilisha ujenzi wa reli ya standard gauge,kwa maana hiyo garama za kusafiri na kusafirisha bidhaa zitakua chini na hivyo kukuza Mara moja biashara ndani na nje ya Kenya.
Tanzania ifike mahali tuwe na dhamila ya dhati ya kuleta maendeleo kwa wananchi.
Tuimarishe reli yetu, ya Dar-Pwani-Tanga-Arusha. Then Dar-Pwani-Moro-Dom-Singida-Tabora-Kigoma.Tabora- Shinyanga-Mwanza.
Hiyo reli ikisimamiwa vizuri pengine Tanzania inaweza kuwa tajiri kukiko nchi zote za maziwa makuu na kusini Mwa jangwa la sahara sababu bandari zetu zitakua imara zaidi mazao yetu ya kilimo yataweza kuuzika ndani na nje kwa wepesi mno.
Mungu ibariki Tanzania.
Wenzetu Kenya wamekamilisha ujenzi wa reli ya standard gauge,kwa maana hiyo garama za kusafiri na kusafirisha bidhaa zitakua chini na hivyo kukuza Mara moja biashara ndani na nje ya Kenya.
Tanzania ifike mahali tuwe na dhamila ya dhati ya kuleta maendeleo kwa wananchi.
Tuimarishe reli yetu, ya Dar-Pwani-Tanga-Arusha. Then Dar-Pwani-Moro-Dom-Singida-Tabora-Kigoma.Tabora- Shinyanga-Mwanza.
Hiyo reli ikisimamiwa vizuri pengine Tanzania inaweza kuwa tajiri kukiko nchi zote za maziwa makuu na kusini Mwa jangwa la sahara sababu bandari zetu zitakua imara zaidi mazao yetu ya kilimo yataweza kuuzika ndani na nje kwa wepesi mno.
Mungu ibariki Tanzania.
Wenzetu Kenya wamekamilisha ujenzi wa reli ya standard gauge,kwa maana hiyo garama za kusafiri na kusafirisha bidhaa zitakua chini na hivyo kukuza Mara moja biashara ndani na nje ya Kenya.
Tanzania ifike mahali tuwe na dhamila ya dhati ya kuleta maendeleo kwa wananchi.
Tuimarishe reli yetu, ya Dar-Pwani-Tanga-Arusha. Then Dar-Pwani-Moro-Dom-Singida-Tabora-Kigoma.Tabora- Shinyanga-Mwanza.
Hiyo reli ikisimamiwa vizuri pengine Tanzania inaweza kuwa tajiri kukiko nchi zote za maziwa makuu na kusini Mwa jangwa la sahara sababu bandari zetu zitakua imara zaidi mazao yetu ya kilimo yataweza kuuzika ndani na nje kwa wepesi mno
Mungu ibariki Tanzania.
Wenzetu Kenya wamekamilisha ujenzi wa reli ya standard gauge,kwa maana hiyo garama za kusafiri na kusafirisha bidhaa zitakua chini na hivyo kukuza Mara moja biashara ndani na nje ya Kenya.
Tanzania ifike mahali tuwe na dhamila ya dhati ya kuleta maendeleo kwa wananchi.
Tuimarishe reli yetu, ya Dar-Pwani-Tanga-Arusha. Then Dar-Pwani-Moro-Dom-Singida-Tabora-Kigoma.Tabora- Shinyanga-Mwanza.
Hiyo reli ikisimamiwa vizuri pengine Tanzania inaweza kuwa tajiri kukiko nchi zote za maziwa makuu na kusini Mwa jangwa la sahara sababu bandari zetu zitakua imara zaidi mazao yetu ya kilimo yataweza kuuzika ndani na nje kwa wepesi mno.
Mungu ibariki Tanzania.
Wenzetu Kenya wamekamilisha ujenzi wa reli ya standard gauge,kwa maana hiyo garama za kusafiri na kusafirisha bidhaa zitakua chini na hivyo kukuza Mara moja biashara ndani na nje ya Kenya.
Tanzania ifike mahali tuwe na dhamila ya dhati ya kuleta maendeleo kwa wananchi.
Tuimarishe reli yetu, ya Dar-Pwani-Tanga-Arusha. Then Dar-Pwani-Moro-Dom-Singida-Tabora-Kigoma.Tabora- Shinyanga-Mwanza.
Hiyo reli ikisimamiwa vizuri pengine Tanzania inaweza kuwa tajiri kukiko nchi zote za maziwa makuu na kusini Mwa jangwa la sahara sababu bandari zetu zitakua imara zaidi mazao yetu ya kilimo yataweza kuuzika ndani na nje kwa wepesi mno.
Mungu ibariki Tanzania.