Tanzania at 56: echoes of the best and worst of Nyerere under Magufuli..

Hivi mmeelewa maudhui ya mwandishi na kwa nini ameruka ruka kuelezea utawala wa Mkapa na Kikwete? Halafu huyo akaanza kushikilia bango sheria ya madini.

Chamoto ,.

Mkuu
Rais Dr Magufuli, ndiye tunamhitaji.

Rais, Putin wa Russia amewakomalia wazungu koko hadi sasa hivi uchumi wa Russia unapaaa ile mbaya na ile nguvu ya Russia wakati wa USSR inaanza kurudi kwa kasi ya umeme.

Mfano, ulidhania kuwa USA atafukuza baadhi ya wanadiplomasia wa Russia kutoka USA kisha Russia ijibu mapigo kwa kuwaondoa wanadiplomasia wote USA nchini mwake (Russia)!!

Kwa hiyo, wazungu koko hawataki mtu anayewawekea USO wa mbuzi pale wanapoiba raslimali za nchi husika.

Wanapenda wakutane kila siku na rais dhaifu na viongozi waandamizi wa serikali walio goigoi ili washerekeee huko ulaya wakati sisi huku Africa and Tanzania tubakie kulialia na kuombaomba.

Kwa ujumla, watanzania tunahitaji kuondoa tofauti zetu na itikadi zetu za kivyama kisha kusimama pamoja na serikali yetu kwa ajili ya manufaa ya Tanzania na watanzania.

Vinginevyo tutakuwa shamba la bibi kwa kila kikaragosi kuja kuvuna na kuondoka kwenda kula mema huko kwao.

Tanzania mpya inawezekana ...
 
Sijawahi kuona zuri na la maana kwa manufaa ya Tanzania likiandikwa na vyombo vya magharibi.
Its either you pay them ili wakusifie au watangaze maandamano vifo na njaa

jingalao,
Mkuu,
Kabisa kabisa.

Wazungu ni watu wanafiki sana.
 
hata nyerere walikuwa hawampendi

Saguda47,

Kabisa kabisa.

Aliwazibia ila hawa goigoi 95 hadi 2015 walipendwa sana kwa sababu, walisaini mikataba ya chief Mangungo.

Dr. Magufuli wabane zaidi na zaidi ili tuache na sheria kabisa na vyombo sahihi vya kuwakaba hadi hata wasaliti na wezi wote pale ukiwa unaondoka madarakani hiyo 2025.
 
Media za kimataifa zitakusifia kama maslahi yao hayaguswa, tangu awatibulie ulaji wao kwenye madini hawawezi mpenda tena kama mwanzo. Kwao sera nzuri ni zile zinazotunyonya sisi na si vinginevyo.

mtanzania1989 ,

Mkuu kabisa

Wanawapenda akina dhaifu kwa sababu ya mikataba ya kichifu Mangungo.

Dr. Magufuli, wabane hao mburuta , na wasaliti wote hadi Tanzania ipige hatua.
 
Poise,
siyo mwanachama au mfuasi wa chama.chochote kile ila nina imani na Rais Dr Magufuli kwenye issue ya kusimamia raslimali.

Laiti kama , watanzania tungejiunga na kumsaidia basi tungefika mbali kwa kipindi chake hiki cha miaka 10.

Pia, kampeni ya Ondoa wasaliti ingekuwa ni muhimu sana kwa kipindi hiki.

Japo pana baadhi ya issues zinafanyika siyo fair kama.kumkamata mtoto wa Picha za Hostels za UDSM zenye "Expansion joints and Settling"

Ila kwenye raslimali tunamhitaji sana Rais Dr Magufuli.

Kama wazungu, wanataka madini walipe hela stahiki hapa nchini na kama sivyo; basi watengeneze madini huko kwao kama wana uwezo.
 
Utanitoa kwa njia gan? Au ndo pyu pyu pyuuuuu
Maanina mkishindwa hoja solution yenu ya mwisho no risas

Msambwata ,

Haaa haaa haaa haaa Haaa.
Kumbe wewe muoga eeeh!?

Ila.kama wewe au wenzako ni wasaliti basi kawaambie mtubu wote kama babu seya na mwanae la sivyo "operation Ondoa wasaliti haitakuacheni katu"

Sasa mbona unanitukana!?

Any way, asante kwa kunitusi.
 
Wakenya walikuwa wanamkubali sana Ila sasa hivi hawataki hata kumsikia bwana huyu...shame
wtznia tuna uvivu wakusoma makala marefu hasa yakiwa yakiingereza...someni kwanza kisha comment kuliko kukurupuka na comment zenu za kishabiki zilio ja siasa mchabue alio andika plz
Tanzania at 56: echoes of the best and worst of Nyerere under Magufuli

By THE CONVERSATION

The Tanzanian mainland is marking the 56th anniversary of independence from British rule. The mainland unified with Zanzibar in 1964 to create the current nation-state under Mwalimu Julius Nyerere who is often invoked as “the father of the nation�.

The new nation-stateâ€s economic, social and political path was paved in 1967, when Nyerere proclaimed the Arusha Declaration. This led to the nationalisation of key industries and the total reorganisation of rural life. Communal farming and forced resettlement were applied, justified on the basis of attempting to bring about self-reliance.

Referred to as ujamaa, the socialist-inspired policies dominated the politics, society, and economy of Tanzania until Nyerereâ€s retirement in 1985.

Ujamaa policies are much debated. Generally, they are seen as something of a social success but as economically ruinous. By emphasising Tanzanian citizenship, ujamaa created a sense of unity and effectively removed the kind of ethnic politics that dominates Kenya, for example. But it short-circuited the economy and saw food production collapse.

Nyerereâ€s handpicked successor Ali Hassan Mwinyi Tanzania practically reversed all the earlier policies. His government moved from one of the most influential and vehement defenders of African Socialism to one of the most neoliberal regimes on the continent. As Pitcher and Askew thoughtfully assert, this really put the “selfâ€� in “self-relianceâ€�.

This openness to investment and trade was further enhanced with the introduction of multipartyism in 1995. Under both Presidents Mkapa and Kikwete, the country generally remained economically liberal. It also remained investment friendly with significant levels of foreign investment when compared to the socialist period.

But sweeping change has come under the current President John Pombe Magufuli, who has just entered the third year of a five-year term. Magufuli has taken a different approach to that of his recent predecessors and is harking back to policies advocated by Nyerere. Comparisons between the two are commonplace, both positive and negative. This is particularly so when it comes to natural resources.

Perhaps the most contentious area today is the mining sector and the role of the contemporary government in seeking better returns from mining companies. This move has the hallmarks of a policy of resource nationalism. This is a sign of a shift in policy as well as rhetoric.

Opening a closed economy

Tanzania was close to bankrupt after the economic collapse of the 1970s and the conflict with Idi Aminâ€s Uganda in the late-1970s. The latter years of Nyerereâ€s presidency were marked by his continual attempts to resist IMF assistance which involved signing up to a structural adjustment package. This was mainly down to his concerns over dramatic cuts to social provision.

The first programme was finally implemented in 1986 under Mwinyi whose presidency was marked by Tanzaniaâ€s economy opening up and dramatic reductions in social expenditure.

Multi partyism also arrived in Tanzania. The first multiparty elections in 1995 were won by Benjamin Mkapa who remained in power for the next 10 years. Another 10 years followed under Jakaya Kikwete until 2015.

During this period foreign investment has come in many sectors, but especially in tourism and mining. A significant part of the financial inflows came from post-apartheid South Africa.

“The Bulldozer� approach

“The Bulldozerâ€� Magufuli is Tanzaniaâ€s fifth president, and the fourth since multiparty elections. As he enters his third year, there are strains of authoritarianism in Magufuliâ€s approach which bear the hallmarks of Nyerere. For example, he seems to have centralised power within the executive branch of government.

At the same time, he seems to be placing himself more closely to the socialist era of Tanzanian politics than anything since Nyerere.

Both approaches seem politically acceptable to Tanzanians – as long as they generate results. Nevertheless, Magufuliâ€s approval ratings fell to 71% in June from a high of 96% last year.

Itâ€s still unclear what effect his recent attempts to claw back revenues from multinational mining giants will have on his rating.

New regime for mining

In the Arusha Declaration, Nyerere describes natural resources as owned by all citizens and held in trust for their descendants. When the new mining laws were passed in July, Magufuli said:

We [Tanzanians] must benefit from our God given minerals and that is why we must safeguard our natural resource wealth to ensure we do not end up with empty mining pits.

The new laws raise royalties on tax for gold, copper, silver and platinum exports from 4% to 6%. This is a nominal increase perhaps but an indication of a different direction of travel. Expectations are that such changes will soon be introduced for tanzanite and diamonds.

Following the new laws the government agreed a 50-50 profit sharing arrangement with Barrack Gold as well as a minimum government of stake 16% in all mining activities. Gold generates around a third of the countryâ€s export revenues.

The new mining laws arenâ€t akin to the nationalisation of 50 years ago. But Magufuli has described the agreement with foreign investors as groundbreaking and a model to be adopted elsewhere across the continent.

The long term impact of mining reforms are yet to be felt. Claims from multinational corporations that the new laws threaten future investment may well prove to be overblown. As might the opinion pieces in The Economist suggesting Armageddon for the sector in Tanzania. But, certainly from some quarters, the view is that Magufuli has managed the process well.

On the other hand, his bulldozing style has seen his popularity decrease. It has also seen critics express their views over his presidency more forcefully.

A balance sheet of positives and negatives is perhaps the most striking similarity with the legacy of Nyerere as Tanzania marks yet another independence anniversary.


Tanzania at 56: echoes of the best and worst of Nyerere under Magufuli

Ni ukweli mkuu ila kwa habari hiyo hiyo vipi kama ingeandikwa na gazeti la ndan

Media za kimataifa zitakusifia kama maslahi yao hayaguswa, tangu awatibulie ulaji wao kwenye madini hawawezi mpenda tena kama mwanzo. Kwao sera nzuri ni zile zinazotunyonya sisi na si vinginevyo.
 
Msambwata ,

Haaa haaa haaa haaa Haaa.
Kumbe wewe muoga eeeh!?

Ila.kama wewe au wenzako ni wasaliti basi kawaambie mtubu wote kama babu seya na mwanae la sivyo "operation Ondoa wasaliti haitakuacheni katu"

Sasa mbona unanitukana!?

Any way, asante kwa kunitusi.
Hilo tusi si lako ni kibwagizo tuu si unajua wabongo Sie ..story bila tusi hainogi mkuu hahah
 
wtznia tuna uvivu wakusoma makala marefu hasa yakiwa yakiingereza...someni kwanza kisha comment kuliko kukurupuka na comment zenu za kishabiki zilio ja siasa mchabue alio andika plz
Mkuu nimeisoma 3times+
 
Media za kimataifa zitakusifia kama maslahi yao hayaguswa, tangu awatibulie ulaji wao kwenye madini hawawezi mpenda tena kama mwanzo. Kwao sera nzuri ni zile zinazotunyonya sisi na si vinginevyo.
Hizo sera zisizotunyonya ziko wapi? Migodi imefungwa na makinikia yako bandarini. Kishika uchumbwa bado kulipwa na Accasia/Barick Gold. Lose-lose situation
 
Back
Top Bottom