Habar zenu wana jf,naomba msaada kwan nimeitwa kwenye interview ya tanroad kibaha position ya cashier zileeee ambazo zilitoka tar 6 march na deadline ilikuwa 18 march, yoyote mwenye information kuhusu interview inakuwaje naomba anisaidie hata maswal ambayo wanapenda kuuliza.msaada wenu ni muhimu sana kwangu. Asanten sana