Tanroads iringa

Tanroads iringa

Bwogi

Member
Joined
Aug 30, 2012
Posts
10
Reaction score
2
Naomba kuuliza wana JF, TANROADS iringa walishaita watu kufanya interview ya pili(Oral) kwa zile nafasi za Cashiers??
 
Mkuu kuna nyepec nyepec kuwa wa2 wameshaanza kazi, me mwenyewe baada ya kupata hizo taarifa nilishangaa. Tena hakukuwa na oral wala nini, ile ile written ilikuwa kama danganya toto.
 
Mkuu kuna nyepec nyepec kuwa wa2 wameshaanza kazi, me mwenyewe baada ya kupata hizo taarifa nilishangaa. Tena hakukuwa na oral wala nini, ile ile written ilikuwa kama danganya toto.

kama ni kweli ss watoto wa maskini hatutapata kazi,tutaishia kuitwa kwnye intervew kama gelesha tu.
 
sasa kama ndio hivi, mbona watakua wana filisi wa2,kwa maana wngne 2litoka mikoani, sasa kama walikua wanajua kua wana wa2 wao ya nn kuita wa2 wengi waje kwnye intrvw??au kama walikua na nia ya ku ajiri walio nao, kwann wali itangaza nje????
Jamanii hili tatizo litaisha lini??
 
sasa kama ndio hivi, mbona watakua wana filisi wa2,kwa maana wngne 2litoka mikoani, sasa kama walikua wanajua kua wana wa2 wao ya nn kuita wa2 wengi waje kwnye intrvw??au kama walikua na nia ya ku ajiri walio nao, kwann wali itangaza nje????
Jamanii hili tatizo litaisha lini??
Interview za cku hizi nyingi ni danganya toto mkuu, wanaita wa2 kwny interview ili kuionyesha jamii kwamba wamefuata taratibu zote za kuwachuja wa2 na kwamba wamewapata wa2 wenye cfa na vigezo, kumbe hamna chochote cha zaidi kinachofanyika. Nafac zikitangazwa 2 walioko juu wanazigombania wao kwa wao, tena saa nyingine hata baadhi yao inabidi wawe wapole maana ushindani unakuwa mkubwa na wengine wanataka waweke ukoo mzima, cjui kama 2tafika kweli kwa hali hii.
 
Back
Top Bottom