Pole sana kwa changamoto hiyo.Umeharibu mfumo wako wa asili kww tamaa isiyoweza kukusaidia.Unachotakiwa na kutafuta namna ya kuurejesha upya mfumo ulioharibika kabla haujaendelea kuathirika zaidi.Unaweza kutumia tiba lishe au dawa za mitishamba zenye uwezo wa kufanya hivyo.Kama ukihitaji msaada zaidi naweza pia kukusaidia.Kikubwa punguza tamaa ya ngono.