Tangazo la Nafasi ya Kazi

Tangazo la Nafasi ya Kazi

conrym.conrym

Member
Joined
Jul 24, 2014
Posts
99
Reaction score
7
Nafasi ya Kazi ya Ulinzi (Nafasi 15)

Kampuni ya Ulinzi ya 24 Security (T) Limited inatangaza Nafasi za kazi ya ulinzi.

Kituo cha kazi:
Dar es Salaam (3)
Dodoma (3)
Mwanza (3)
Mbeya (3)
Mtwara (3)

SIFA ZA MWOMBAJI;
→Awe amehitimu elimu ya msingi au kidato cha nne
→Awe amepitia mafunzo ya JKT, Mgambo ama Ulinzi Shirikishi
→Awe anajua kusoma na kuandika kwa lugha ya Kiswahili
→ Awe raia wa Tanzania
→Awe na uzoefu wa kufanya kazi ya ulinzi kwa muda wa zaidi ya miezi 9
→Awe na nidhamu na mwenye kujituma

MAJUKUMU;
1. Kuhakikisha ulinzi na usalama wa jumla wa Mteja na mali zake
2. Kuchukua tahadhari zote zinazotakiwa ili kudhibiti matukio ya upotevu wa mali, wizi, moto na mengine ya aina hiyo.
3. Kusimamia uingiaji wa wageni katika milango na geti za ofisi.
4. Kufanya shughuli nyingine zozote atakazo elekezwa au kupangiwa na viongozi wake
5. Mwombaji aambatanishe;
a. Vyeti vya elimu/kuzaliwa
b. Barua kutoka serikali ya mtaa anakoishi
c. Barua ya wadhamini wawili na picha zao.


Mwisho wa kuwasilisha maombi ni Tarehe 27/02/2015 Kwa maelezo zaidi piga 0774819712
 
Nafasi ya Kazi ya Ulinzi (Nafasi 15)

Kampuni ya Ulinzi ya 24 Security (T) Limited inatangaza Nafasi za kazi ya ulinzi.

Kituo cha kazi:
Dar es Salaam (3)
Dodoma (3)
Mwanza (3)
Mbeya (3)
Mtwara (3)

SIFA ZA MWOMBAJI;
→Awe amehitimu elimu ya msingi au kidato cha nne
→Awe amepitia mafunzo ya JKT, Mgambo ama Ulinzi Shirikishi
→Awe anajua kusoma na kuandika kwa lugha ya Kiswahili
→ Awe raia wa Tanzania
→Awe na uzoefu wa kufanya kazi ya ulinzi kwa muda wa zaidi ya miezi 9
→Awe na nidhamu na mwenye kujituma

MAJUKUMU;
1. Kuhakikisha ulinzi na usalama wa jumla wa Mteja na mali zake
2. Kuchukua tahadhari zote zinazotakiwa ili kudhibiti matukio ya upotevu wa mali, wizi, moto na mengine ya aina hiyo.
3. Kusimamia uingiaji wa wageni katika milango na geti za ofisi.
4. Kufanya shughuli nyingine zozote atakazo elekezwa au kupangiwa na maafisa wa Taasisi
5. Mwombaji aambatanishe copy ya
a. Vyeti vya elimu/kuzaliwa
b. Barua kutoka serikali ya mtaa anakoishi
c. Barua ya wadhamini wawili na picha zao.


Mwisho wa kuwasilisha maombi ni Tarehe 27/02/2015 Kwa maelezo zaidi piga 0774819712

Mbona hujasema mnalipaje
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom