Mtunda Lubaragula
Member
- Jan 4, 2014
- 31
- 11
Nahitaji surveyors wenye ujuzi unaojitosheleza. Awe ana uwezo wa kutumia mashine za levelling, Total Station n.k. Pia awe mjuzi katika kutumia AutoCAD.
Nafasi hizi si za kujifunza. Nahitaji anayejua na mwenye weledi wa kufanya kazi na sio anayekuja kujifunza kazi.
Eneo la kazi: MORONGA-MAKETE, TANDALA MAIN CAMP.
KAMPUNI: CRSG
Email CV yako: mtundahussein@gmail.com
Mwisho wa kutuma: 06/07/2018 : 14:00
Nafasi hizi si za kujifunza. Nahitaji anayejua na mwenye weledi wa kufanya kazi na sio anayekuja kujifunza kazi.
Eneo la kazi: MORONGA-MAKETE, TANDALA MAIN CAMP.
KAMPUNI: CRSG
Email CV yako: mtundahussein@gmail.com
Mwisho wa kutuma: 06/07/2018 : 14:00