Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Wadau hii ngoma mpaka sasa kimya wakati tuliambiwa kila kitu kitakuwa kwenye net.Hii maana yake nini?Bila shaka walishaona kuna dali lili mbaya kwahiyo wakaamua kuwatuliza watanzania hasa loan applicants.
Inawezekana walikuwa na takwimu tu za wangapi watapata na wangapi hawatapata ila walikuwa bado hawajaziandaa kuziweka ktk website yao.Si mnakumbuka gazeti la Nipashe la juzi liliwalipua na la jana pia lilikuwa na maoni ya mhariri kuhusu ucheleweshaji wa mikopo.Kwa kifupi mhariri aliiponda bodi kwa kuchelewesha mikopo.Si ajabu bila gazeti la Nipashe kuvalia njuga swala hili wangeendelea kukaa kimya tu hawa watu.
Tunawashukuru gazeti la Nipashe kwa kuwaamsha usingizini hawa mabwana.
Inawezekana walikuwa na takwimu tu za wangapi watapata na wangapi hawatapata ila walikuwa bado hawajaziandaa kuziweka ktk website yao.Si mnakumbuka gazeti la Nipashe la juzi liliwalipua na la jana pia lilikuwa na maoni ya mhariri kuhusu ucheleweshaji wa mikopo.Kwa kifupi mhariri aliiponda bodi kwa kuchelewesha mikopo.Si ajabu bila gazeti la Nipashe kuvalia njuga swala hili wangeendelea kukaa kimya tu hawa watu.
Tunawashukuru gazeti la Nipashe kwa kuwaamsha usingizini hawa mabwana.