Tangazo la Gawio – Twiga Cement (2024)*

Mwakawasila

Member
Joined
Oct 23, 2024
Posts
39
Reaction score
68
πŸ“’ Tangazo la Gawio – Twiga Cement (2024)


Kampuni ya Twiga Cement imetangaza gawio kwa wanahisa kwa mwaka wa fedha 2024 kama ifuatavyo:


➑️ Gawio lililotangazwa: TZS 600 kwa hisa
➑️ Tarehe ya mwisho kununua hisa kupata gawio: 21 Mei 2025
➑️ Tarehe ya malipo ya gawio: 30 Juni 2025


πŸ“Š Utendaji wa Kampuni kwa Mwaka 2024
β€’Faida baada ya kodi (2024): TZS 56.673 bilioni
β€’Faida mwaka 2023: TZS 99.183 bilioni
β€’πŸ”» Upungufu wa faida kwa mwaka: -42.9%


πŸ“ˆ Historia ya Gawio (Kwa Mwaka)
β€’πŸ—“οΈ 2017 – 2019: TZS 290 kwa hisa
β€’πŸ—“οΈ 2020 – 2023: TZS 390 kwa hisa
β€’πŸ—“οΈ 2024: TZS 600 kwa hisa
⬆️Ongezeko la gawio 2024 dhidi ya 2023: +53.8%


πŸ’° Uchambuzi wa Faida ya Gawio kwa Mwekezaji
β€’πŸ’΅ Bei ya sasa ya hisa ya Twiga Cement: TZS 4,320
β€’πŸ’Έ Faida ya gawio kwa bei hiyo:
(600/4,320)Γ—100 = 13.89%


πŸ‘‰ Hii ni dividend yield ya kuvutia licha ya faida kupungua.
 
Huu unaitwa mtego. Kampuni imepungua faida alafu inatoa divident kubwa πŸ˜‚πŸ˜‚ usipoangalia utalia na moyo baada ya divident kupita
Ha! Kumbe. Mi nilikuwa nashangilia nasema ni bonge la fursa. Nifafanulie vizuri ni mtego kivipi kwamba naweza kununua nisipate gawio au?
 
Huu unaitwa mtego. Kampuni imepungua faida alafu inatoa divident kubwa πŸ˜‚πŸ˜‚ usipoangalia utalia na moyo baada ya divident kupita
Ha! Kumbe. Mi nilikuwa nashangilia nasema ni bonge la fursa. Nifafanulie vizuri ni mtego kivipi kwamba naweza kununua nisipate gawio au
 
Ha! Kumbe. Mi nilikuwa nashangilia nasema ni bonge la fursa. Nifafanulie vizuri ni mtego kivipi kwamba naweza kununua nisipate gawio au?
Mfano ulikuwa unapata faida ya 500 mwaka unaofuta faida ikashuka hadi 300 alafu utangaze kulipa wafanyakazi wako mshahara mara mbili kwa mapato ya akiba ya kampuni bila kuangalia je mwakani itakuaje, Je nitapata faida zaidi au faida itazidi kushuka zaidi? Je, itakuaje faida ikishuka zaidi ?
 
Hapo ni hasara tu. Lakini je hivyo ndivyo ilivyo kwa twiga cement?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…