kancarl
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 1,182
- 573
5m? Vip utamind ikija bila ssd au harddisk
Nataniaa boss
Pole sana hopee itarud soon
Sent using Jamii Forums mobile app
Nataniaa boss
Pole sana hopee itarud soon
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu fungua PM nkutumie kitu kinaweza kukusaidia kwenye utafutaji wakoNimeibiwa Laptop MacBook Pro 15" mnamo tarehe 27 Machi 2019 muda wa kazi. Ofisi ilikuwa imefungwa kwa ufunguo mimi nikiwa kikaoni jengo jingine hapo hapo kazini. Serial number ni C02RT4WAG8WP.
Zawadi ya Shillingi 5,000,000 (million tano) itatolewa kwa atakayewezesha kupatikana kwake. Walau nizipate picha za msiba wa Bibi yangu tu.
Ninatanguliza shukrani.
View attachment 1059052View attachment 1059053
Sent using Jamii Forums mobile app
This might be an option as wellkuna babu namfahamu anaweza akakusaidia huo mwizi atairudisha mwenyewe kwa mikono yake miwili, gharama yake hata mil2 haifiki. nakama imeshauzwa anakwambia mpaka mahali ilipo.
Nimeibiwa Laptop MacBook Pro 15" mnamo tarehe 27 Machi 2019 muda wa kazi. Ofisi ilikuwa imefungwa kwa ufunguo mimi nikiwa kikaoni jengo jingine hapo hapo kazini. Serial number ni C02RT4WAG8WP.
Zawadi ya Shillingi 5,000,000 (million tano) itatolewa kwa atakayewezesha kupatikana kwake. Walau nizipate picha za msiba wa Bibi yangu tu.
Ninatanguliza shukrani.
View attachment 1059052View attachment 1059053
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu au macho yangu tu,Laptop uliinunua milioni 8 na ushee?
Mkuu mbona ni bei rahisi! (huenda specifications zake nazo ni ''rahisi''. Ukikutana na za namna hiyo hiyo zile kali ni bei ya gari!Mkuu au macho yangu tu,Laptop uliinunua milioni 8 na ushee?
Kuna kazi za kufanyia za muhimu ambazo bei inaonekana kama ndogo tu. Halafu hii bei mbona rahisi sana?Mmhh mmhh!!.. 8Mil kwa ajiri ya tarakishi mpakato!!.. Halafu aliyekuibia anaenda uza 2K to 5K..
Mil 8 bei ya gari kwa Mtz wa kawaida.Kuna kazi za kufanyia za muhimu ambazo bei inaonekana kama ndogo tu. Halafu hii bei mbona rahisi sana?
Mkuu camera mtu akivaa mzula tu tayari kapoteza camera hizoUkishaipaata laptop yako Mkuu nawwashauri mfunge na Kamera kwenye ofisi zenu,maana usingepata taabu yote hii ya kujakutangaza mpaka Zawadi ya 5m
Sent using Jamii Forums mobile app
Kidogo nicheke wakati uzi hauruhusu. Mkuu hii post yako na niki connect na ule uzi wa wazee wa liquid faya... Uko well connected mjini.Pole sana.....
Ngoja ntakuchek wanunuzi wote wa mali za uwizi kama imewapitia.....nkipata code ntakustua
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu au macho yangu tu,Laptop uliinunua milioni 8 na ushee?
Pole sana.....
Ngoja ntakuchek wanunuzi wote wa mali za uwizi kama imewapitia.....nkipata code ntakustua
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kama kweli unahitaji hiyo mashine tuma details nilizo kwambia kwa WhatsAppNimeibiwa Laptop MacBook Pro 15" mnamo tarehe 27 Machi 2019 muda wa kazi. Ofisi ilikuwa imefungwa kwa ufunguo mimi nikiwa kikaoni jengo jingine hapo hapo kazini. Serial number ni C02RT4WAG8WP.
Zawadi ya Shillingi 5,000,000 (million tano) itatolewa kwa atakayewezesha kupatikana kwake. Walau nizipate picha za msiba wa Bibi yangu tu.
Ninatanguliza shukrani.
View attachment 1059052View attachment 1059053
Sent using Jamii Forums mobile app