Tangazo kwa wanaomiliki PC

Tangazo kwa wanaomiliki PC

Hudhaifiy

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2013
Posts
336
Reaction score
145
Habari zenu, nimefanya research nimegundua watu wengi wana window 7 na window 8 ya 32 bits badala ya 64 bits! Ili kujua, nenda my computer den properties halaf nenda kwenye sehem wameandika system file den check n 32 or 64 bits.
Kama n 32bits kwanza haisom ram yote, mfano 4gb itasoma 2.98 usable!
Suluhisho n moja tu just kupiga window 7 or 8 ya 64 bits uinjoy! Its too cheap, kama utakua na tatizo hilo na matatizo mengine utaniambia!

Wasiliana nami 0653 457659.
Mtel na mwenzako!
Pamoja tunajenga taifa la wenye PC Tanzania.
 
Ninatumia windows 7 64bit....ila tabu kweli software nyingi ni za 32bit

Yap its true bt m nnazo za 64 bits software! Yaan kila software ambazo nnazo mm zipo za aina mbili, x32 na x64!
 
Kwel maana ili hata kwangu limesumbua[/QUOTE ]

Kama tatizo lipo mpka leo, nicall nawez nkaja kukuhelp kwa bei nzur tu ili na ww ukipata wengine unileteee kwa bei hyo au hata ukiongeza maana bei yang n cheap mpka wengine hua wanaongeza bei wakileta watu
 
Yap its true bt m nnazo za 64 bits software! Yaan kila software ambazo nnazo mm zipo za aina mbili, x32 na x64!

Kitu kinachonikera zaidi ni kwamba nimekosa drivers za 64bit kwa printer niliyonayo....
 
Habari zenu, nimefanya research nimegundua watu wengi wana window 7 na window 8 ya 32 bits badala ya 64 bits! Ili kujua, nenda my computer den properties halaf nenda kwenye sehem wameandika system file den check n 32 or 64 bits.
Kama n 32bits kwanza haisom ram yote, mfano 4gb itasoma 2.98 usable!
Suluhisho n moja tu just kupiga window 7 or 8 ya 64 bits uinjoy! Its too cheap, kama utakua na tatizo hilo na matatizo mengine utaniambia!

Wasiliana nami 0653 457659.
Mtel na mwenzako!
Pamoja tunajenga taifa la wenye PC Tanzania.

mkuu app za 32bit zina run kwenye os ya 64bit ila app za 64bit hazirun kwenye 32bit. acha upotoshaji.

labda hata hujui tofauti ya 32bit na 64bit maana unaposema haisomi ram yote maana yake nini? nahisi hauko aware na specification za kuweka os 32bit au 64bit. Nenda kasome some kwanza sio kuwahadaa watu na maneno yako ya kuganga njaaa. uwe unatembelea jukwaa la tech utapata elimu kubwa kuhusu pc na mengineyo
 
Kwel maana ili hata kwangu limesumbua[/QUOTE ]

Kama tatizo lipo mpka leo, nicall nawez nkaja kukuhelp kwa bei nzur tu ili na ww ukipata wengine unileteee kwa bei hyo au hata ukiongeza maana bei yang n cheap mpka wengine hua wanaongeza bei wakileta watu

mkuu app za 32bit zina run kwenye os ya 64bit ila app za 64bit hazirun kwenye 32bit. acha upotoshaji.

labda hata hujui tofauti ya 32bit na 64bit maana unaposema haisomi ram yote maana yake nini? nahisi hauko aware na specification za kuweka os 32bit au 64bit. Nenda kasome some kwanza sio kuwahadaa watu na maneno yako ya kuganga njaaa. uwe unatembelea jukwaa la tech utapata elimu kubwa kuhusu pc na mengineyo

Wewe nawe unatofauti gani na huyu mleta maada kipofu na kipofu
 
mkuu app za 32bit zina run kwenye os ya 64bit ila app za 64bit hazirun kwenye 32bit. acha upotoshaji.

labda hata hujui tofauti ya 32bit na 64bit maana unaposema haisomi ram yote maana yake nini? nahisi hauko aware na specification za kuweka os 32bit au 64bit. Nenda kasome some kwanza sio kuwahadaa watu na maneno yako ya kuganga njaaa. uwe unatembelea jukwaa la tech utapata elimu kubwa kuhusu pc na mengineyo

Khaaaaaa hivi we umeelewa kwl maana naona unaongea vitu ambavyo havipo kwny mada! We ndo haujui ndo unatakiwa ukasome!
Laptop inayokubali 64 bits kaweke 32 bits uone ram inasomaje, inavyoonekana huna hata pc ndo mana unaongea ovyo tu hapa! Watch out na coment zako!
 
Kitu kinachonikera zaidi ni kwamba nimekosa drivers za 64bit kwa printer niliyonayo....

Vizuri mkuu, tatizo dogo sana hilo! Ingia internet search driver za printer zako zinazokubali kwny window ya 64 bits den zitakuja half download! Nahisi tatizo litakua limeisha!
 
Vizuri mkuu, tatizo dogo sana hilo! Ingia internet search driver za printer zako zinazokubali kwny window ya 64 bits den zitakuja half download! Nahisi tatizo litakua limeisha!

Unadhani sijazitafuta? Nimetafuta sana....
 
Back
Top Bottom