Tangazo from TCU

nimepiga mzumbe wakasema liko nje wa uwezo wao wanaotoa namba ni TCU wakaniambia nisubirie na TCU CODE namba sijapata hlf wanasema uulize chuo ulichochaguliwa, ukiwapigia chuoni wanakwambia hawajuwi hilo..yaani Tanzania kila kitu ni kubahatisha bahatisha tu.
 
 
Wakuuu nilisubiri code toka first selection ila Leo ndo nimepata mungu apewe sifa
 

we naye kila thread unaingilia si tunaenda You Dii, kaanzishe thread yako huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…