Tanganyika

Tanganyika

mr clean

Member
Joined
Jun 19, 2012
Posts
16
Reaction score
1
Kitendo cha kuwepo katiba hai Zanzibar
Wimbo wao wa taifa.baraza la wawakilishi.bendera ya taifa,na rais mwenye mamlaka kamili ni udhihirisho kuwa wazanzibari walimuenzi mama yao Zanzibar huku Watanganyika wakinyonga mama yao Tanganyika kwa mikono yao wenyewe.jambo hili linaweza lisiwe zuri kwa watawala lakini likawa jema kwa wazalendo wa Tanganyika.
 
Back
Top Bottom