ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,107
- 49,809
Kikongwe wa Miaka 88 amuangukia Rais Samia Kufuatia mahindi yake ya ekari 12 jufyekwa na Uongozi wa Kijiji Cha Kwamsisi kisa Mgogoro wa Ardhi.
View: https://twitter.com/Nipashetz/status/1739244304814522387?t=86YbiYaBKje2SEIh3GZXng&s=19
Ilani.
Nani Ametoa ruhusa ya kufyeka mahindi ya Wananchi Kwa sababu iwayo yeyote?
Hii tabia imeanza kuota mizizi,ilifanyika Mpanda Kwa Mzee na Sasa imejirudia Kwa huyu bibi.
Serikali Fukuza watu wote waliohusika na huu upuuzi vinginevyo itaonekana kwamba watu maskini hawana mtetezi mbele ya wenye pesa na Vyeo.
View: https://twitter.com/Nipashetz/status/1739244304814522387?t=86YbiYaBKje2SEIh3GZXng&s=19
Ilani.
Nani Ametoa ruhusa ya kufyeka mahindi ya Wananchi Kwa sababu iwayo yeyote?
Hii tabia imeanza kuota mizizi,ilifanyika Mpanda Kwa Mzee na Sasa imejirudia Kwa huyu bibi.
Serikali Fukuza watu wote waliohusika na huu upuuzi vinginevyo itaonekana kwamba watu maskini hawana mtetezi mbele ya wenye pesa na Vyeo.