Tanga: Polisi wazuia msafara wa Prof. Lipumba wakidai hawana taarifa na msafara huo

Upo sahihi ndiyo maana tunasema kuwa huyo ni poropesa
Hapo lengo sio Prof Lipumba, kuna kiongozi/chama maarufu cha upinzani watafanya ziara/amsha amsha hapo Tanga(rejea maazimio ya CHADEMA). Wanachofanya ni wamempanga Prof,Kwamba naye wamemzuia ili kufanya figisu kwa hicho chama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na kikofia chake kama mganga wa kienyeji njaa mbaya sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilishasema, bashiru anachanja mbuga tu jimbo LA zitto Kigoma.kwa sasa mchawi mwingine Wa upinzani Ni polis.
 
Ila jamani kuna wazee hawana mshipa wa aibu!
Hivi Lipumba baada ya aibu zote hizi amekosa hata shughuli nyingine ya kufanya kujiepusha na aibu hii inayoendelea?
Hatari sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vyanzo vyao vina vinasaba na lipumbaa ndiyo maana hizo taarifa hazikunasa kwenye mitambo yao
Hawakuwa na taarifa za kiintelijensia kwamba kuna msafara pinzani umepangwa kupita njia hiyo hiyo kuelekea upande wanaotoka CUF na hivyo watakutana katikati na kuashiria uvunjifu wa amani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…