Tanesko, Tanesko, Tanesko,Tanesko

Tanesko, Tanesko, Tanesko,Tanesko

kufikirika

Member
Joined
Nov 22, 2013
Posts
39
Reaction score
17
Wakuu, ni kama mwezi mmoja sasa hivi SINZA hatupati umeme.Wanakata saa tatu asubuhi na kurudisha saa moja jioni.Wakati mwingine hukata hata saa moja usiku na kurudisha usiku wa manane kama saa nane hivi.
Kweli tumechoka sasa na tunapata hasara sana majumbani na katika biashara zetu.
Hebu tuambieni wenzetu wa maeneo mengine,vipi nyie umeme kwenu ukoje?
 
Wanakurahisishia LUKU isiishe mapema.

Wakuu, ni kama mwezi mmoja sasa hivi SINZA hatupati umeme.Wanakata saa tatu asubuhi na kurudisha saa moja jioni.Wakati mwingine hukata hata saa moja usiku na kurudisha usiku wa manane kama saa nane hivi.
Kweli tumechoka sasa na tunapata hasara sana majumbani na katika biashara zetu.
Hebu tuambieni wenzetu wa maeneo mengine,vipi nyie umeme kwenu ukoje?
 
pole, karibu kwenye ulimwengu wa solar achana na Tanesco mkuu,.
 
Kweli Chakii, hawa jamaa ni hopeless,inabidi tuangalie other altenatives
 
Huwa nakujaga huko mara moja moja.., unachosema ni kweli aisee..! Ila huku Tabata ni swaaafi kabisa .., hamia huku ila ukubali foleni ya ubungo..
 
Kuna wakati nilileta uzi kama huu hapa nikilalamikia ukatikaji wa umeme maeneo ya Mabibo na Manzese. Inaonyesha kuna mgawo wa siri unaendelea.
 
Zamu yenu aisee

Maana kwenye like jimbo la daktari umeme unakatwa katwa kama upo ngomani
 
Back
Top Bottom