TANESCO tuhurumieni wana Tanga

TANESCO tuhurumieni wana Tanga

Nas Mapesa

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2014
Posts
5,286
Reaction score
5,423
Kwani kosa letu nini hasa yaani siku za mwisho kabla ya uchaguzi kila dk mlikua mnajata umeme baada ya uchaguzi mkatuachia kama wiki tu sasa hivi hii adhabu imezidi najiuliza kuanzia jana kinyozi kala nini muweka nyimbo kwenye simu je?vipi kuhusu mashine za kukoboa na kusaga msitufanye maisha kua magumu kwa husda zenu mbona,au kuna kitu nyuma ya pazia sababu kuna maeneo hayakatiki mfano kange,meneja tanesco elewa kua kuna familia nyingi zinakosa chakula sababu yenu muogopeni aliyewaumba kama ni agizo mmepewa endeleeni but its not fair.
 
Mtaisoma namba mwaka huu, mmependa wenyewe
mkaichagua kwa kura nyingi wenyewe.....
sasa tulieni dawa iwaingie , maana nyie tanga
mlituangusha sana.

Kwani kosa letu nini hasa yaani siku za mwisho kabla ya uchaguzi kila dk mlikua mnajata umeme baada ya uchaguzi mkatuachia kama wiki tu sasa hivi hii adhabu imezidi najiuliza kuanzia jana kinyozi kala nini muweka nyimbo kwenye simu je?vipi kuhusu mashine za kukoboa na kusaga msitufanye maisha kua magumu kwa husda zenu mbona,au kuna kitu nyuma ya pazia sababu kuna maeneo hayakatiki mfano kange,meneja tanesco elewa kua kuna familia nyingi zinakosa chakula sababu yenu muogopeni aliyewaumba kama ni agizo mmepewa endeleeni but its not fair.
 
Last edited by a moderator:
Mtaisoma namba mwaka huu, mmependa wenyewe
mkaichagua kwa kura nyingi wenyewe.....
sasa tulieni dawa iwaingie , maana nyie tanga
mlituangusha sana.

unaiongelea tanga ipi wewe?hebu fikiria tena.
 
Last edited by a moderator:
Kweli man angu wanazingua sana hao jamaa, alafu kauli mbiu ya raisi apa kazii tuu kwa staili kazi hazifanyiki kamwe, acha vijana wamue kushikaa mitutu na kuingia mitaanii kwan wayatakaa
 
Vumilieni ukombozi uko karibu, mlijitahidi sana kujikomboa mkaondoa hao wezi hapo tanga mjini, lakini wameiba, Hongereni sana msife moyo Mungu atasaidia mliomchagua atawapigania.
 
Meibkempf ushaingiza siasa. Tanesco ni shirika la umma na wameshatoa ufafanuz sana kuhusiana na hilo swala...
Si nikukumbushe tu kuwa embu jaribu kufuatilia utajua nn kinachaendelea na si kuonesha mojakwamoja kuwa mi inshu ya politics....
 
mh magufuli hebu fanya suprise hapa tanesco ya tanga tafadhari
 
Mmmh !! Mlicheza pata potea ? au tena hamkuwachaguwa Waheshimiwa?!!? Maana nchi kwa kukomoana...!!
 
Duh tanga imekuwa ya mashine za kusaga/kukoboa na saluni? Kweli tumetoka mbalo
 
Kwani kosa letu nini hasa yaani siku za mwisho kabla ya uchaguzi kila dk mlikua mnajata umeme baada ya uchaguzi mkatuachia kama wiki tu sasa hivi hii adhabu imezidi najiuliza kuanzia jana kinyozi kala nini muweka nyimbo kwenye simu je?vipi kuhusu mashine za kukoboa na kusaga msitufanye maisha kua magumu kwa husda zenu mbona,au kuna kitu nyuma ya pazia sababu kuna maeneo hayakatiki mfano kange,meneja tanesco elewa kua kuna familia nyingi zinakosa chakula sababu yenu muogopeni aliyewaumba kama ni agizo mmepewa endeleeni but its not fair.

Mbunge wenu ana kazi gani!?
Au ndio wale wabunge wa kususa?
 
Mi nimechoka.na.mtera nilikuwa najiuliza sasa mkuu wa kaya kanipa jibu.kumbe maji takiingia mtera jamaa wanatumia mashine yanayamwaga halaf yanakuwa chini ya kiwango hapo inabid utumie pump.mashine kuyaongea na unatumia mafuta kibao. Hapo ndio jamaa wanauza mafuta ktk.magar halaf mashine haiwashwi washenz sana hawa,sasa kimenuka.
 
Mtoa post uwe unafatiria taarifa toka Tanesco maana umekuwa mtu wa kulalamika bila kujua kulikoni Tanesco hawezi kukata Umeme bila tarifa na isitoshe imekuwa ikitoa taarifa Sikh mbili kabla ya kukata Umeme. Ikitokea wamekata ghafla basi jua kunatatizo na pia baadaye huwa wanatoa taatifa kwanini umekatika. Acha siasa maana Tanesco haiusiani na siasa
 
Mtoa post uwe unafatiria taarifa toka Tanesco maana umekuwa mtu wa kulalamika bila kujua kulikoni Tanesco hawezi kukata Umeme bila tarifa na isitoshe imekuwa ikitoa taarifa Sikh mbili kabla ya kukata Umeme. Ikitokea wamekata ghafla basi jua kunatatizo na pia baadaye huwa wanatoa taatifa kwanini umekatika. Acha siasa maana Tanesco haiusiani na siasa

we sio mtanzania,yaani mkuu wa kaya mwenyewe anajua hujuma za tanesco wewe unakataa ajabu sana hii sasa jiandae tushajua uhuni wenu wa kumwaga maji night,tanesco inanuka.
 
Tatizo watanzania hatusomi vipeperush wala hatuangalia taarifa ya Habar tulio wengi Mbona taarifa Zilitolewa .
 
Tatizo watanzania hatusomi vipeperush wala hatuangalia taarifa ya Habar tulio wengi Mbona taarifa Zilitolewa .

unaishi tanga kama jibu ni hapana kaa kimya mana hujui mateso tanesco wanayotupa,sasa hivi umeme unakatika mara 16/17kwa siku huamini uliza mkazi wa tanga mjini.
 
Wabunge ndio hao wakutoka ndan ya bunge nan atatusemea kero zetu acha wkat umem had wachok hatuna mbunge tanga
 
Naish tanga tanesco wanavyotufanyia sio hak dk 1 wanakata imeme hapo hapo wanaridisha maisha gan hayo kukata umem rejareja
 
Mh sospeter ulivyokuja Tanga hatukuona tatizo la umeme baada ya kuondoka shughuli ikaanza tunakuomba siku uje ghafl(shtukiza) tumechoka na dharau za hawa watendaji wako,umeme kila saa unakatika bado bill zikija utadhani kila nyumba ina kiwanda ndani,tafadhari sana njoo tena.
 
Back
Top Bottom