Jamani luku yangu inakula umeme sana yaan umeme wa 35elf haufiki mwisho wa mwezi na mimi sina matumizi makubwa zaidi ya tv, radio na kafriji nisaidien jamen
Wamekuwekea ya viwandani! haifai kwa matumizi ya nyumbani,pia angalia kifriji chako hicho kisiwe kinakesha kama CNN, kama sio hayo kutakuwa kuna mahala shoti huwa inatokea katka nyumba yako!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.