Kwani Tanesco wanafaa?kifupi hawafai!,ktk mashirika ya umma ninayoyachukia la kwanza ni Tanesco haiwezekani nilipie nguzo,waya,service line kisha bado nalipia service charge,eura,rea,kodi ya umeme ninaotumia nyumbani kila mwezi wakati nalipa kodi zote za serikali ,umeme bei kubwa halafu umeme wenyewe siupati kiuhakika shirika limejaa rushwa,waswahili na wababaishaji,mfano wiki iliyopita nilienda Tanesco kuripoti pale mbagala charambe kuhusu tatizo la mita yangu haipitishi umeme wakachukua namba yangu ya mita na Simu pale chumba no moja na mbili yaani wanatega kutafuta deal za pesa tu huwezi amini mpaka Leo hawajapiga wala hawajaja matokeo yake nipo gizani natamani hizi mita zingekuw zinauzwa kariakoo ningeshanunua kariakoo,kwanini hili shirika lisiruhusu biashara huria ya kusambaza umeme?