TANESCO Morogoro ni kichefuchefu

TANESCO Morogoro ni kichefuchefu

MTENDAHAKI2

Member
Joined
May 23, 2013
Posts
37
Reaction score
4
Ni kawaida ya mkoa wa Morogoro kukatika kwa umeme mara kwa mara tena bila ya taarifa, hivi hamuoni kua mnatutia hasara maana kila cku mnaunguza vitu vyetu,kiukweli mumeoza na inakera hasa maeneo ya Mjini na mitaa yake! Uthibitisho leo umekatika mara tatu
 
mgao wa kimya kimya unaendelea wamaona aibu kuutangaza.wamebak kutafuna pesa za IPTL
 
Uwekaji wa nguzo baada ya malipo pia ni tatizo kubwa morogoro, wanataka rushwa ndo wafunge umeme
 
Mgao wa Umeme naona umeshmiri haya huku kwetu wiki ya pili hatuna Umeme kwa masaa 16 kila siku inakera sana
 
Kuna mgao wa kimya kimya unaendelea moro.....fuatilia kila alhamisi na ijumaaa lazima ukatike kwa masaa 6
 
Ni kawaida ya mkoa wa Morogoro kukatika kwa umeme mara kwa mara tena bila ya taarifa, hivi hamuoni kua mnatutia hasara maana kila cku mnaunguza vitu vyetu,kiukweli mumeoza na inakera hasa maeneo ya Mjini na mitaa yake! Uthibitisho leo umekatika mara tatu

na maji kichefuchefu barabara kichefuchefu usafi wa mji na uongozi kichefuchefu
 
Back
Top Bottom