Huwa sielewi kitengo cha mawasiliano kinafanya nini? Kwa nini hawatoe taarifa (hata kama ni mbaya) tujue nini kinaendelea? Siku hizi kuna twitter, facebook, jamiiforums, michuzi blogs n.k Lakini wanashindwa kutoa habari? Umeme unakatika kila baada ya dakika 20 sijui ni kitu gani hasa wanafanya hawa!