Hongera sana tanesco kwa kukata umeme kwa muda wa masaa 24 sasa, ongezeni yawe masaa 116 ndo itakua poa maana huku tushazoea kukatiwa umeme hovyo hovyo
Walitoa taarifa jana kwenye taarifa ya habari ya itv kuwa kukosekana kwa umeme maeneo ya temeke,mton, mbagala,kigamboni na maeneo ya karibu kumetokana na kuanguka kwa nguzo za umeme 4 au zaid.
Hongera sana tanesco kwa kukata umeme kwa muda wa masaa 24 sasa, ongezeni yawe masaa 116 ndo itakua poa maana huku tushazoea kukatiwa umeme hovyo hovyo
Sasa hivi ni saa 3:05 asubuhi siku ya pili hakuna umeme jimbo la Kigamboni Mbagala....! Ingekuwa Oysterbay umeme ungekosekana kiasi hiki? Matapeli wa Tanesco na visingizio vya uongo
Sasa hivi ni saa 3:05 asubuhi siku ya pili hakuna umeme jimbo la Kigamboni Mbagala....! Ingekuwa Oysterbay umeme ungekosekana kiasi hiki? Matapeli wa Tanesco na visingizio vya uongo
Sasa hivi ni saa 3:05 asubuhi siku ya pili hakuna umeme jimbo la Kigamboni Mbagala....! Ingekuwa Oysterbay umeme ungekosekana kiasi hiki? Matapeli wa Tanesco na visingizio vya uongo