TANESCO mmejipanga kutuibia kupitia kodi za majengo?

TANESCO mmejipanga kutuibia kupitia kodi za majengo?

mwanadome

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2015
Posts
5,008
Reaction score
5,413
Kufuatia leo kuanza kwa kodi za majengo kupitia mfumo wa ununuaji wa luku nilitegemea kupata mchanganua wa ni kisasi gani nimekatwa katika manunuzi yangu ya umeme.

Kikawaida naponunua umeme wa 2000 hua napata unit 6,ila leo nimepewa unit 5.7 kwa maana kwamba wamekata kodi ya jengo. Japo mimi mnunuajia sijaelewa ni kiasi gani wamekata na kiasi gani nimebaki nadaiwa ili ifike hiyo 1000 wanayo taka kwa mwezi. Je, hii sio njia rahisi ya wao kuibia wateja wao wanao nunua kidogo kidogo?

Kwanini hiyo tozo isingekua inaonekana kwenye receipt yao? Kama ilivyo kwa VAT, EWURA NA REA.

Screenshot_20210820-161318_Messages.jpg
 
Kila unaponunua unakatwa hiyo kodi?
Nadhani maana mimi nilivyo nunua nilitegemea wakate yote kwa pamoja ila inavyo onekana sivyo wame kata kidogo japo sijui ni kiasi gani wamekata
 
1639.35+295.08+16.39+49.1=2,000. Hapa umekatwa nini tena? Inamaana wewe ulikuwa ukinunua umeme wa 10k unapata unit 30 tofauti na sisi ambao tunapata unit 28?
 
Hapana ndani ya mwezi unakatwa mara Moja tu
Mbona mimi hawajakata hiyo ya mkupuo?,na hata walichokata hawakionyeshi hapo kwenye makato yao. Ila idadi ya unit zimepungua tuu
 
Ukipitisha mwezi bila kununua siku ya kununua unalipa deni la nyuma na la mwezi husika inayobaki ndo unapewa umeme wako
 
Nadhani maana mimi nilivyo nunua nilitegemea wakate yote kwa pamoja ila inavyo onekana sivyo wame kata kidogo japo sijui ni kiasi gani wamekata
Na watakuwa wamefanya hivyo kwa kuwa wangekata buku yote ingetakiwa na units chache sana. Kama ungeweka umeme wa elfu tano hapo wangekata buku yao yote.
 
Kufuatia leo kuanza kwa kodi za majengo kupitia mfumo wa ununuaji wa luku nilitegemea kupata mchanganua wa ni kisasi gani nimekatwa katika manunuzi yangu ya umeme.

Kikawaida naponunua umeme wa 2000 hua napata unit 6,ila leo nimepewa unit 5.7 kwa maana kwamba wamekata kodi ya jengo. Japo mimi mnunuajia sijaelewa ni kiasi gani wamekata na kiasi gani nimebaki nadaiwa ili ifike hiyo 1000 wanayo taka kwa mwezi. Je, hii sio njia rahisi ya wao kuibia wateja wao wanao nunua kidogo kidogo?

Kwanini hiyo tozo isingekua inaonekana kwenye receipt yao? Kama ilivyo kwa VAT, EWURA NA REA.

View attachment 1899879
Bora yako wewe mimi TANESCO wananiibia wewe kwa sh.2,000 unapata unit 5.7
Wengine kwa sh.3,000 tunapata unit 4.2

LUKU
37212843355
990022123020518998
4.2KWH

5094 6353 7734 7435 5346

Cost 1,147.55
VAT 18% 206.55
EWURA 1% 11.48
REA 3% 34.42
Debt Collected 1,600.00
TOTAL 3,000.00
 
Mbona mimi kwangu ina goma nime weka shs3000 kwa simu nanunua naambiwa salio halitoshi
Hata mimi tangu jana naambiwa hivyo mpaka leo sina umeme.
Rejea:
Muamala kwenda LUKU uliofanya 21/8/21 11:06 AM haikufanikiwa. Tafadhali angalia salio lako la M-Pesa kwani pesa zako zimerudishwa.

Tena wanaandika.
Malipo ya Ankara Na: 37212843355 hayajafanikiwa.Kiasi cha fedha ni kidogo au sawa na deni unalodaiwa.
 
Mimi siku zote kabla hata ya hiyo kodi 2,000 nilikuwa napata unit 5.7
 
Bora yako wewe mimi TANESCO wananiibia wewe kwa sh.2,000 unapata unit 5.7
Wengine kwa sh.3,000 tunapata unit 4.2

LUKU
37212843355
990022123020518998
4.2KWH

5094 6353 7734 7435 5346

Cost 1,147.55
VAT 18% 206.55
EWURA 1% 11.48
REA 3% 34.42
Debt Collected 1,600.00
TOTAL 3,000.00
Polee mkuuu, jamaaa ni mumiani walio halalishwa na bunge.

Tatizo kubwa kwangu hawajaonyesha kiwango walicho nikata,japo najua wamekata
 
Polee mkuuu, jamaaa ni mumiani walio halalishwa na bunge.

Tatizo kubwa kwangu hawajaonyesha kiwango walicho nikata,japo najua wamekata
Wamenipiga pigo takatifu tena 5,000 unit 1.5
LUKU
37212843355
990022123320138178
1.5KWH

0029 2493 0496 3524 7260

Cost 409.84
VAT 18% 73.77
EWURA 1% 4.10
REA 3% 12.29
Debt Collected 4,500.00
TOTAL 5,000.00
 
Wamenipiga pigo takatifu tena 5,000 unit 1.5
LUKU
37212843355
990022123320138178
1.5KWH

0029 2493 0496 3524 7260

Cost 409.84
VAT 18% 73.77
EWURA 1% 4.10
REA 3% 12.29
Debt Collected 4,500.00
TOTAL 5,000.00
Yako ni kibokoo mkuuu.
 
Back
Top Bottom