Nsubi_TheStar
Member
- Nov 11, 2013
- 11
- 1
Habari wana forumn, mimi ni kati ya watu wengi waishio kigamboni wka sasa. Kinachonishangaza ni hali ya umeme kutokuwepo hasa wakati wa wikiendi. Utakuta jumamosi asubuhi umeme unakatika na hakuna hata taarifa ya nini kinaendelea. Siku nyingi za wiki umeme upo siku nzima ila ikifika wikiendi mambo yanabadilika.
Ni sawa inawezekana kuna hitilafu nk, ila basi hata taarifa!!! Hali hii inasikitisha sana.
Ni sawa inawezekana kuna hitilafu nk, ila basi hata taarifa!!! Hali hii inasikitisha sana.