Je unataka kazi au nataka kuingia kufanya kazi TANAPA? Kama kazi omba maafisa tarafa wametangaza angalia katika tovuti ya ajira serikalini deadline katikati ya mwezi huu na omba hata ukipata unaweza kuacha na baadaye kwenda unakohitaji mwenyewe kama kuna nafasi huko
"KUKAA BILA AJIRA NI VIBAYA PIA INAUMIZA WALIKUWEPO NYUMA YAKO NA KUFUATA MIENENDO YAKO"
USHAURI
OMBA KAZI!