Pilato
Member
- May 29, 2008
- 60
- 3
katika Hali isiyokuwa ya kawaida serikali ya wanamagamba imeshindwa kabisa kutoa tamko juu ya kile kilichotokea Kule Arusha kulipuka kwa bomu June 15,kwenye mkutano wa Chadema.
Zaidi ya hapo ni pale waziri mkuu wa serikali ya wanamagamba badala ya kuonyesha masikitiko yeye Aliotoa Agizo la kuendelea kuua na kuwapa kipigo wana Arusha matukio ya kuuwawa au kuteswa ni Kama kupigwa bomu kanisani arusha ,Kuuwawa mwandishi Habari mwanza ,kuteswa kwa ulimboka,kuuwawa Kijana wa Chadema morogoro,kuteswa mbunge wa chadema Ernest kiwia,kuuwawa kwa padri Zanzibar,kumwagiwa shekhe wa zanzibar tindikali,kukoswakoswa kuuwawa kwa maximero wa jf, badala ya kutegeshewa ajali Huko mkoa ni tabora ,
Nadhani wana jf mawe za kuorodhesha na matukio mengine
Serikali imekuwa ikikiuka haki za binaadam hapa Nchini na inasemekana Hali imekuwa mbaya zaidi kipindi cha kuanza 2005 hadi Leo, wizara ya mambo ya Ndani chini ya ya waziri wa sasa wa mambo ya Ndani Bwana Nchimbi inaonyesha matukio yamekuwa mengi zaidi na ukilinganisha serikali zilizopita ni serikali ya Jk ndio yenye matukio mengi zaidi kuliko serikali zote, wana JF hebu tuorodheshe matukio yote ya uvunjifu Wa haki za binaadam ,alafu tupime yameshughulikiwa vipi na serikali hii ya wanamagamba
Zaidi ya hapo ni pale waziri mkuu wa serikali ya wanamagamba badala ya kuonyesha masikitiko yeye Aliotoa Agizo la kuendelea kuua na kuwapa kipigo wana Arusha matukio ya kuuwawa au kuteswa ni Kama kupigwa bomu kanisani arusha ,Kuuwawa mwandishi Habari mwanza ,kuteswa kwa ulimboka,kuuwawa Kijana wa Chadema morogoro,kuteswa mbunge wa chadema Ernest kiwia,kuuwawa kwa padri Zanzibar,kumwagiwa shekhe wa zanzibar tindikali,kukoswakoswa kuuwawa kwa maximero wa jf, badala ya kutegeshewa ajali Huko mkoa ni tabora ,
Nadhani wana jf mawe za kuorodhesha na matukio mengine
Serikali imekuwa ikikiuka haki za binaadam hapa Nchini na inasemekana Hali imekuwa mbaya zaidi kipindi cha kuanza 2005 hadi Leo, wizara ya mambo ya Ndani chini ya ya waziri wa sasa wa mambo ya Ndani Bwana Nchimbi inaonyesha matukio yamekuwa mengi zaidi na ukilinganisha serikali zilizopita ni serikali ya Jk ndio yenye matukio mengi zaidi kuliko serikali zote, wana JF hebu tuorodheshe matukio yote ya uvunjifu Wa haki za binaadam ,alafu tupime yameshughulikiwa vipi na serikali hii ya wanamagamba