KATIBU MKUU,
OWM-TAMISEMI,
S.L.P 1923,
DODOMA
Lakini kwa sasa muombaji haiandikii TAMISEMI, unapeleka maombi ya nafasi kule unakotaka kuhamia, ukikubaliwa unaipeleka kwa RAS mkoani kwako, yeye ata-compile maombi yote ndani ya mkoa na kuyapeleka TAMISEMI,