mtei msomi
Member
- Jul 30, 2016
- 16
- 4
Wadau naomba mnisaidie eti tamisemi wamesitisha uhamisho mfano wa kubadilishana hadi uhakik wa watumshi hewa ukamilike au bado uko palepale,mwenye taarfa anisaidie mana hapa nimeshaathirika kisaikolojia mana hata kazi nafanya tu kwasababu napata mshaara lkn sins mnkari na kazi kabisa kwani fikra zangu zilishahama kabisa.nisaidieni taarifa wadau ili njiandae kisaikolojia mana karibia vitu vyote nimeshauza