Mpaka leo hatuoni jipya zaidi ya kushuhudia wahitimu wa sjut dodoma tu kupangiwa vituo vya kazi,sasa na sisi hatima ya ajira yetu ipi?jamani tamisemi muwe na huruma na watoto wa watanzania wenzenu,tupeni haki yetu ya ajira maana sifa tunazo.
Mpaka leo hatuoni jipya zaidi ya kushuhudia wahitimu wa sjut dodoma tu kupangiwa vituo vya kazi,sasa na sisi hatima ya ajira yetu ipi?jamani tamisemi muwe na huruma na watoto wa watanzania wenzenu,tupeni haki yetu ya ajira maana sifa tunazo.
Kwa hili jambo nimuhimu kuungana tujue nini kinaendelea tamisemi na kwa nini wakae kimya ukienda pale wizara ya elimu wanasema majibu yote wanayo tamisemi kulikoni.