Shibuda huwa namtazama anapo ongea lile domo lake kubwa, anajuwa kulitumia kuongea upupu! Halina point yoyote zaidi ya kutokota pumba-nadhani siku zake zinahesabika Chadema, bado amevaa gamba inatakiwa arudi alikotoka huku kwa wapambanaji hatoshi!
shibuda kichwa hataki kuburuzwa, anajitambua ni mbunge anayependa uhuru wa kuongea hata alipokuwa ccm alikuwa hivi hivi, ni mtu mwenye msimamo usioyumba.
Jamani Hiza ni mtu aliyepitwa na wakati. Do not count him kama mwanasiasa. Halafu shule yake kiduchu.
Mh. Shibuda ni Mwanasiasa Jasiri, amewezaa chama na kapata ubunge. Matatizo mengine madogomadogo atasaidiwa na Komandoo SLAA.