Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,534
- 8,619
Wakuu angalieni TBC kuna onyesho la bure mnazi mmoja la wale wasanii walamba miguu chini ya mwavuli wao[PRIME TIME]..ajabu ni kuwa tamasha hili tofauti la lile la malaria no more halikutangazwa kabisa....naulizia kisa naambiwa serikali inaogopa nguvu ya umma,waliogopa lingeweza kutumika na wapinzani kuhamasisha watu waigeuze MNAZI mmoja ...kama Revolution Squre...
TBC kwa kuficha aibu ya wasanii kutumbuiza uwanja mtupu ....hawaonyeshi kabisa audience..its like pale mnazi mmoja ...na namna watu wanavyopenda muziki...watu hawapo....
Angalieni wenyewe......
TBC kwa kuficha aibu ya wasanii kutumbuiza uwanja mtupu ....hawaonyeshi kabisa audience..its like pale mnazi mmoja ...na namna watu wanavyopenda muziki...watu hawapo....
Angalieni wenyewe......