Tamaa yangu imeniponza"

Ukikua utaacha ujinga endelea na watoto washule utaenda kufundishwa kuimba na babu sea muanzishe bendi
 
Hapo mwishon kwel tupu maana nilikua magu namwambia mwenzangu yule ajae mbele yetu analiwa Leo na kwel analiwa,nikawaza km mwanza ndio hivi na hawasifiki Bukoba c itakua wanatembea nazo mkonon![emoji2] [emoji2]
Ila bukoba mnapenda kuwaonea jamani kha!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulebudogo unyelile

Utongoza wewe ukawalala wewe harafu unakuja kutamba ungese huku


Nywanuko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawashangaa wanaosema mbeya kuna malaya. Jamani mbeya kuna wife material tu. Mnyakyusa hajui dawa bali ni mapenzi tu na ukimwacha mnyaki ni ajali tu. Ukweli wanawake wa mbeya ni raha wachapakazi mwanzo mwisho. Weeee Mungu shuka uwaguse warembo wa mbeya [emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usije kuongea tu kwa sababu na wewe unajua kuongea

Watu tunajua a 2 z ya Mbeya acha uongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mbona antibiotic zimejaa tele , ww ungempima ngoma tu ukajilia mzigo safi ndo maana natembea na SD bioline kila ninapoenda window period is not kept in consideration[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndiyo uache tabia ya kutaka kugegeda kila KE anayekatiza kwenye macho yako. Angekuambukiza ukurutu mpaka kwemye gegedo kama siyo kukupa virus vya HIV. Hilo liwe fundisho kubwa kwako, pole kwa kuunguza buku 15 bila kugegeda.

 
Usije kuongea tu kwa sababu na wewe unajua kuongea

Watu tunajua a 2 z ya Mbeya acha uongo

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo tupe data. Mbeya ina makabila ya wandali, wabungu, wanyakyusa, wasafwa, wanyiha, wasangu, wanyamwanga na wamalila.
Ulichoshikilia ni hadithi tu zisizo na logic.
Umalaya ni sare kila kabila wapo. Ni mkoa gani au kabila gani ambalo nitaenda nishindwe kutongoza mwanamke wa huko na kulala naye. Kama lipo litaje. Ningekuelewa kama ungesema kule Zanzibar. Huku bara walikojaa akina chausiku.
Kwa Tanzania makabila matulivu wapo ila siyo hao wasukuma wanaoanzia mapenzi kwenye machungo. Tena wasukuma wachafu balaa ndiyo maana wasukuma wote hawali utumbo wa mifugo mwembamba hata mnene wanajua ukweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbeya ipi unazungumzia mkuu?
Labda kama kuna mbeya nje na
TANZANIA sio haya ninayoyaona
bora ukae kimya maana mungu tu anakuona
 
Sio kila anae umwa ataonyesha hayo makovu, vidonda, vikohozi n.k hizo ni assumption mbovu
 
Yaani wewe unaleta hadithi za abunuasi kbs
Utumbo unaliwa kote nadhani wewe uliwapenda sana wasukuma maana walikusukuma mbaya mpaka unaona nyota

Mmoja kakugomea Leo unawaona wachafu wote

We xuzu tu huna nyuma wala mbele

Nshenji ebe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aiseee!. Povu kwelikweli. Hivi kwa akili yako unaona kuna msukuma wa kumgomea mtu. Au kwa ushamba wa msukuma mimi nikimuoa nimpeleke wapi. Niache kuoa wanyakyusa, wakinga, wabena, wasafwa, wachaga, wahaya, wangoni, wafipa niwafuate wachunga ngombe nyie msio jua maji.
Ukisikia msukuma anaita uwiiiiiiiiiiiii usidhani anapiga yowe ndo kusema anataka simu ya Huawei.
Acha ushamba, badilika kutwa kutanga tanga na mifugo. Nadhani hata shetani angekuambiwa achague kabila angekuwa msukuma kabila lako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…