Kutumia ujambazi na wizi wa kura ndio mvoto wa ccm?...huu ni ujinga ndugu yang ulioandika, wananchi tunafikiria siasa za ccm zinapofikia watu kufa kwa mabomu na risasi,wanavokatwa mapanga,kuumizwa na kulazwa hospitali wewe unaleta uzezeta hapa? USHINDI GANI HUU WEWE UNAOUSEMEA? KUUMIZA WATANZANIA WENZETU? KUUWA? Haina hata maana, wewe au mkeo angekufa ungeleta ujinga huu hapa?...